Ninampenda sana!

Mdigokhan

JF-Expert Member
May 2, 2022
845
1,924
Mimi ni kijana wa miaka 29 kama kawaida kilo zangu hazipungui ni zile zile 96, Kibonge flani hivi, mweusi, Kitambi cha kufutia simu (Utambulisho tu)

Naombeni ushauri jamani. Kuna mdada Nimetokea kumpenda sana sana, nimekutana nae miezi miwili nyuma, nimejenga nae mahusiano na nishaanza process za kutaka kumuoa (single mother)

Ni mnene jap0 sijui kil0 zake ila ana miaka 34, Nimemkuta ana wat0t0 wa tatu na kila mt0t0 ana baba ake ila washaachanaga Miaka hi0 na baba zao.

Mt0t0 wake wa kwanza ana miaka 11,wa pili Ana miaka 6 na wa tatu ana miaka miwili(2)

Kwasasa naishi nae pam0ja na ha0 wat0t0 wake Amba0 sasa ivi niseme ni wangu pia,Wat0t0 Wawili wananipenda na wananiita baba Ila huyu wa kwanza ambae ana umri wa miaka 11 Hanipendi ananiita B0NGE Kuna siku ashawahi niitaga BUNYENYE Nilimmaindi akaacha..

Nawahudumia w0te Kama baba Jap0 kiugumu Ila ndi0 nishapenda B0ga Basi Ua ni muhimu kulipenda...(si0 shida zangu)

Tatizo ni moja tu ambal0 limefanya nije ni0mbe USHAURI, Ni ivi Huyu mpenzi wangu Tukiwa kwenye sita kwa sita tukisex Anataka tuzime Taa kuwe na Giza totoro, Pili style ni m0ja tu kif0 cha mende na tuwe tumejifunika shuka Hata kama ni j0t0 ila Shuka lazima, sometime nat0ka kusex basi nat0ka mijash0 cuz ndani j0t0 afu bad0 mk0 ndani ya shuka s0metime Nawahi kushuka hata kama sijak0j0a mana J0t0 sana mixa Jash0 Chakufia nini khaa..

Nimejaribu sana Kumbadilisha Kuhusu Kujifunika shuka ila Hataki kabisa kuelewa na mnaweza kug0mbana kabisaaa nikianza Iz0 mada..

Ninampenda sana sitaki kump0teza

#mdig0
 
Mzee wa Alkasusi
 
Back
Top Bottom