mkuu maalim Seif alipigia siasa mataifa ya magharibi tokea 1992 au kabla ya hapo hivyo siasa za zanzibar Ulaya zinatambulika na kueleweka sana kwa mataifa ya nchi kama Uengereza, maalim Seif aliwekeza hilo mapema hivyo usishangae sana.
Chadema na Lowassa walikuja baadae bado ni wachanga sana...
mbona povu linakutoka? Lete mtazamo wako na fikira zako nini kifanyike kwa ccm waliopo Zanzibar kupiga simu kwa wakuu wa mikoa na kuwataka waje na polisi kuwachukua wana cuf kulazwa ndani na kubambikiziwa kesi za uongo? vipi kuhusu vijana walioandaliwa ambao wanavaa soksi usoni kupita na kupiga...
wewe utabaki kuwa mtumwa ndani ya nchi yako mpaka leo hujuwi taifa lako ni lipi, ni aibu kuwa hujuwi identity yako, nationality yako Tanganyika imeporwa ni mkoloni mweusi hujui kinachoendelea upo upo tu ata unachokiandika hukijuwi. Unataka usikie unguja kumetokea nini wakati jambo lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.