Mkuu naona hukunielewa, siongelei thamani ya ardhi, mahala popote ardhi inapanda thamani with time, mimi hapa naongelea uwezekano wa kuishi mahala ambapo baadae utaonekana hutakiwi kuwepo, hii nchi ipo kwenye safari ya michafuko ya kidini, mukulu ameisha lianzisha, litakapo komaa wapo watu...