Ikulu ni sehemu ya Hata, na hao waliokwenda Ikulu ni Watanzania hakuna shida hapo,hata wwe kama una issue serious inakutatiza wwe ilete kwa Mama na itatutiliwa bila shida!!
Unajua watoto huwa wanaangalia sana jinsi nyinyi wazazi mnavyo ishi, mkiwa mnaheshimiana wanajua,na mkiwa mnazarauriana pia wanajua, na pia wanajua kati ya baba na mama nani ni final say wanajua, na siku zote watamuheshimu sana yule mwenye final say!!
Ndiyo uache usiri au kumsema vibaya Mume wako ukiwa na wanao, wwe ukionyesha kumuheshimu Mumewo na watoto nao watamuheshimu baba yao,lakini ukimzarau Mumeo,na watoto nao hawatamuheshimu! Mara nyingi nyinyi wa mama ndiyo mnaharibugi watoto mkizani ndiyo mnawapenda!!
GenZ wa Kenya wamtowe Ruto kwanza, alafu wamrudishe Gwashagh kua Rais wa Kenya hapo ndiyo ntaaona wao kweli wanaamanisha na wako serious, Tanzania watuachie Watanzania tutayajenga na wala hatujitaji msaada wa jirani yoyote yule!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.