issa mweusi
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 1,477
- 1,137
Mwambie boss aache umeshajua
Hebu njoo maeneo ya keepleft ya samaki pale kesho tushauliane..ikiwezekana tukalieleze limjomba letuMimi nimeajiriwa kwenye kampuni moja huku Mwanza. Sasa bosi wangu huwa anakuja na mademu wengi wengi tu hapa ofisini. Sasa siku hizi anamgegeda mke wa mjomba wangu, kila siku mke wa mjomba anapokuja mimi najificha kama sikuwepo na hajui kama mimi najua jambo analofanya na bosi wangu. Wakifanyana wanapigana picha za uchi na baadae bosi ananionesha tu.
Sasa je nimkataze mke wa anko aache hiyo tabia au nilinde kazi yangu?
Uliyoona ni picha hujaiona yenyewe livemara nyingi