Recent content by Mr Twesie

  1. M

    Kipande cha barabara usichokipenda ukisafiri

    Aisee hiki kipande kilikuwa hovyo kilikuwa na mashimo balaa, ila nimepita jana nimekuta wameziba viraka ila bado kuna mawimbi ya hatari ambayo huwezi kutembea 80KHP,utakutwa ICU, Ila kuna kipande cha kutoka Lusahunga kwenda Rusumo ni kichefuchefu ukiwa na gari ndogo au kubwa hakuna mwenye nafuu,
  2. M

    Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

    Namna ya kuingia PM nielekeze namna kwenda huko twende huko
  3. M

    Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

    Kuna Alphad,Mark II balloon,Nadia,
  4. M

    Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

    80000 kwa siku mafuta utakuwa unajaza mwenyewe,nakujazia fulltank kuanzia na siku ya kurudisha unairudisha ikiwa full tank
  5. M

    Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

    Nakuuliza hivi coz unaweza kuwa na mizunguko mingi inayohitaji multipurpose cars mfano kutembea nje ya kwenye barabara za fumbi km Kolomije,Serengeti np n,k
  6. M

    Wapi ntapata gari za kukodi mwanza?

    Aina gani ya gari unataka?
  7. M

    INAFIKIRISHA: Auawa kwa Risasi Ileile Iliyomkosa Miaka 20 Iliyopita

    Duuu,hapo napo ni ajabu sana kwani muundo wa risasi ulivo unahitaji stages kadhaa ili kuripuka hii ni pamoja na baruti, utambi,hewa hivi vinakuwa ndani ya kasha ambalo limefunikwa katika kitako na juu kufunikwa ni chuma kizito ambacho ndo halisi baada ya mlipuko utoka na kwenda kuleta madhara...
  8. M

    Kumbe CAG ina historia mbaya na boss

    Yaani nikimkumba Kashoggi mwili wangu unapata homa,sijui kwanini Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Je, Israel ya sasa ni Taifa teule la Mungu au ni propaganda tu za kanisa?

    Hapa kazi kwelikweli;Mimi kweli ni Mlutheri wa kuzaliwa na kuishi mpk sasa japo suala la ukristo ni pana sana kiongozi mfano utaratibu wa kunena kwa lugha zamani hatukuwa nao but sasa watu wananena kwa lugha na kulia ktk kipindi cha kusifu (japo mimi sijajaliwa kunena wala kulia sijui nakwama...
  10. M

    Naombeni ushauri, nimempa hela nusu na kiwanja kamuuzia mtu mwingine

    Anatakiwa amlipe sasa akiwa na pesa alizouza kiwanja tofauti na hapo imekula kwake Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Asali ni zaidi ya utajiri

    Wadau Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Asali ni zaidi ya utajiri

    Thanks bro,nina jirani yangu hapa Mwanza alilima miti mingi kama hekali 5 hivi,tuseme ana msitu tena katikati ya makazi ya watu, Nataka niingie ubia nae niweke kilimo cha nyuki sasa sijui kitapata tija kwa maeneo ya hapa mwanza au najichanganya? Naomba msaada wa ushauri wako na wa wadai make...
  13. M

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Mungu aliniepusha hapo halafu akanisukuma hukoo Sent using Jamii Forums mobile app
  14. M

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Hahaha bro tuko wote muda huu?????nipo nasikiliza wimbo wa Awilo longomba akiwa na Luciana group (.....Awilo longomba kwachkwachkwach......)konyag ndo zimeisha na sina cha kunywa Sent using Jamii Forums mobile app
  15. M

    Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

    Huyo mwenye embassy pole yake kabisa ni heri angekomaa na k vant tu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom