Asali ni zaidi ya utajiri

Jamasa upo sahihi eti wewe unaetoa mzigo ndio unabanwa wakati mzigo ulitakiwa wabane wale wanaohitaji kwamba tunahitaji wa kiwango hiki sema wengi sio Wafanyabiashara hasa watunga sheria ndio maana wanaona bora iwepo tuu Tanzania wakati kuna Nchi hiyo asali kidogo tuu huwezi kuigusa kwa bei yake na ya kawaida tu sasa nyingi inaenda Kenya,Rwanda na kwingineko kwa ajili ya kuuza Nchi zilizoendelea...
 
Sasa ndugu. Hapo utajiri uko wapi. Sema ukufanya hato unajiongezea kipato. Hizo shughuli za shambani zingekuwa hivyo vyombo vya anasa vingehamia huko. Hakuna shughuli ya kilimo na ufugaji ndogo. Sema watu wafuge nyuki wajiongezee kipato kama kipo kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi wenye mamlaka walifanyie kazi hili jambo maana wachina mpaka sasa wana pata pesa nyingi za kigeni kwa kuweka uhuru wa ku export
Jamasa upo sahihi eti wewe unaetoa mzigo ndio unabanwa wakati mzigo ulitakiwa wabane wale wanaohitaji kwamba tunahitaji wa kiwango hiki sema wengi sio Wafanyabiashara hasa watunga sheria ndio maana wanaona bora iwepo tuu Tanzania wakati kuna Nchi hiyo asali kidogo tuu huwezi kuigusa kwa bei yake na ya kawaida tu sasa nyingi inaenda Kenya,Rwanda na kwingineko kwa ajili ya kuuza Nchi zilizoendelea...

***
 
Mzee baba hunitakii mema , hapo juu nimepost sample ya biashara yangu soo hapa nikifunguka tuu jua na posibility ya 98% ya kupatikana na kupewa kesi ya uhujumu uchumi ama uchochozi, vizur tuishie hapo tuu for the sake of my peace.

***
Nimekuelewa chief make unaweza kuwa blackmailed na mwendesha mashtaka wa Serikali ,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu wakubwa kwa wadogo ktk jukwaa hili,
Kuna kipindi nilileta uzi kuuliza mazingira ya Tabora yalivyo kwani mke wangu alipangiwa kazi mkoa huo,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda kumtembelea kipenzi changu wilayani sikonge kijiji sitotaja kwa ajili ya kuficha uhalisia wangu,naweza kufahamika mapema kwa watu waliomo humu na wanaishi kule.

Nilipokua kule kuna watu waliniagiza ASALI mbichi kama 3 hivi,hivyo nilipokaribia kuondoka niliamua kutafuta kwa wenyeji wa pale,nilitaka kununua ambayo imechujwa lkn kuna mdau akanmbia ninunue ambayo haijachujwa kwani inauzwa shlingi 80000 kwa ndoo ya lita 20,ambayo ukiichuja inatoa asali lita 10 iliyochujwa na safi kwa matumi.

Nilinunua ndoo mbili kwa shilingi 160000,ili nikitegemea nichuje nipate lita 20 niwapelkee wadau walioniagiza,ajbu kwenye ndoo hizo mbili nilipata lita kama 28 hivi badala ya 20 ikawa faida kwangu,ktk zile ndoo mbili yale makapi(masega) nilipata kama ndoo moja iliyojaa ya lita 20,ambayo nayo ni dili make wanayauza kwa kilo moja shilingi 3000,lakini ukiyapika unapa NTA kama kilo 3 hivi,ambayo kwa kule kilo ya NTA ni 10000/12000 hivyo kwa kilo 3 ni 30000.

UTAJIRI ULIPPO-
Katika uchunguzi wangu ASALI kule inavunwa kwa wingi mwezi wa 6/7 ambapo ndoo ya lita 20 inauzwa mpaka 40000/35000 kwa ndoo moja,na inapanda bei kuanzia mwezi wa 10 nakuendelea mpaka wa 3/4/5 wanapoanza kuvuna tena, mimi nimenunua asali kipindi ambacho imepanda bei.

NAENDELEA HAPA..
Sasa kama unamtaji nenda tabora mwezi wa 6au 7 tafuta sehemu wanazovuna asali,kipindi hicho utanunua kwa 40000 mpaka 35000 kwa ndoo ya lita 20, na nzuri nunua ambayo haijachujwa kabisa ndio faida zaidi,tafuta sehemu au chumba cha kupanga chenye ukubwa wa kutosha kutegemea na kiasi unachohitaji,kule vyumba bado bei nafuu sana vya kupanga kwa mwezi haizidi 20000,lipia miezi mitano au sita then chukua ndoo zako za asali paki humo nenda kaendelee na shuguli zako.

Iikifika mwezi wa kumi mpaka kumi na moja nenda kauze pale pale asali yako ndoo moja kwa shilingi 80000 na zaidi,wala usihangaike kutafuta soko lilipo,miezi hiyo kule asali hakuna na inapatikana kwa shida kweli kweli,wanunuzi wapo wakutosha 24/7hrs,wanakutafuta wewe,sio wewe kuwatafuta.
Kama pia unaweza na unasoko tofauti na kuuza kule basi fatilia maliasili wakupe utaratibu wa nini cha kufanya kusafirisha asali.

Kwa maana ukiweka mtaji wa 2m baada ya miezi 4 unapata 4m,ukiweka 5m baada ya miezi hiyo ni 10m,kwa maana kua unanunua asali kwa 40000 kwa ndoo,then unakuja kuuza kwa 80000 kwa ndoo ni mara mbili ya ulichokiweka.
Ukiamua kuchuja mwenyewe kuna faida zaidi kwan yale makapi unatengeneza NTA kwa kuipika utauza 10000 kwa kilo moja.

NJIA NYINGINGINE..
Tafuta pori kule kodi au nunua kwani bado kule ni bei nafuu,unaweza kupata pori hata kwa laki tatu mpaka tano kutegemea na ukubwa na mtu anaekuuzia,chonga mizinga yako ambayo unauwezo nayo,kule mizinga wanachonga kwa 2000 pamoja na kupandisha juu ya miti,hivyo ukichonga mizinga 1000 x kuchonga na kupandisha 2000=2,000,000 jumla kwa idadi ya mizinga 1000.
Ikumbukwe kua mzinga mmoja kwa miezi tajwa hapo juu unaweza kuta kila mzinga unatoa ndoo moja ya asali ambayo haijachujwa,hivyo kwa kipindi cha mwezi wa 3 mpaka 6 kuna maua ambayo nyuki hupendelea kuyatumia ndio msimu wake wa kustawi hivyo uzalishaji unakua mkubwa tofautisha na miezi mingine.

Basi tufanye umehangaika wee ukapata ndoo zako 400 badala ya ndoo 1000,na hii ni makadirio ya chini kabisa na haiwezi kua hivyo hata ukose vipi make nikipindi ambacho uzalishaji ni mkubwa sana kule, chukua hizo ndoo 400 tunza,njoo uza mwezi wa 10/11 kwa 80,000 kila ndoo.hivyo ndoo 400 x 80,000=32,000,000m.

Ukisafirisha unaweza kupata zaidi ya hapo,mimi ndio nimeanza kufanya hivyo sio mjuzi sana bado najifunza,nikivuna ntaleta mlejesho nini kimetokea.

SIKU NJEMA KWENU WOTE.
Thanks bro,nina jirani yangu hapa Mwanza alilima miti mingi kama hekali 5 hivi,tuseme ana msitu tena katikati ya makazi ya watu,
Nataka niingie ubia nae niweke kilimo cha nyuki sasa sijui kitapata tija kwa maeneo ya hapa mwanza au najichanganya?
Naomba msaada wa ushauri wako na wa wadai make napenda kilimo hichi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu wakubwa kwa wadogo ktk jukwaa hili,
Kuna kipindi nilileta uzi kuuliza mazingira ya Tabora yalivyo kwani mke wangu alipangiwa kazi mkoa huo,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda kumtembelea kipenzi changu wilayani sikonge kijiji sitotaja kwa ajili ya kuficha uhalisia wangu,naweza kufahamika mapema kwa watu waliomo humu na wanaishi kule.

Nilipokua kule kuna watu waliniagiza ASALI mbichi kama 3 hivi,hivyo nilipokaribia kuondoka niliamua kutafuta kwa wenyeji wa pale,nilitaka kununua ambayo imechujwa lkn kuna mdau akanmbia ninunue ambayo haijachujwa kwani inauzwa shlingi 80000 kwa ndoo ya lita 20,ambayo ukiichuja inatoa asali lita 10 iliyochujwa na safi kwa matumi.

Nilinunua ndoo mbili kwa shilingi 160000,ili nikitegemea nichuje nipate lita 20 niwapelkee wadau walioniagiza,ajbu kwenye ndoo hizo mbili nilipata lita kama 28 hivi badala ya 20 ikawa faida kwangu,ktk zile ndoo mbili yale makapi(masega) nilipata kama ndoo moja iliyojaa ya lita 20,ambayo nayo ni dili make wanayauza kwa kilo moja shilingi 3000,lakini ukiyapika unapa NTA kama kilo 3 hivi,ambayo kwa kule kilo ya NTA ni 10000/12000 hivyo kwa kilo 3 ni 30000.

UTAJIRI ULIPPO-
Katika uchunguzi wangu ASALI kule inavunwa kwa wingi mwezi wa 6/7 ambapo ndoo ya lita 20 inauzwa mpaka 40000/35000 kwa ndoo moja,na inapanda bei kuanzia mwezi wa 10 nakuendelea mpaka wa 3/4/5 wanapoanza kuvuna tena, mimi nimenunua asali kipindi ambacho imepanda bei.

NAENDELEA HAPA..
Sasa kama unamtaji nenda tabora mwezi wa 6au 7 tafuta sehemu wanazovuna asali,kipindi hicho utanunua kwa 40000 mpaka 35000 kwa ndoo ya lita 20, na nzuri nunua ambayo haijachujwa kabisa ndio faida zaidi,tafuta sehemu au chumba cha kupanga chenye ukubwa wa kutosha kutegemea na kiasi unachohitaji,kule vyumba bado bei nafuu sana vya kupanga kwa mwezi haizidi 20000,lipia miezi mitano au sita then chukua ndoo zako za asali paki humo nenda kaendelee na shuguli zako.

Iikifika mwezi wa kumi mpaka kumi na moja nenda kauze pale pale asali yako ndoo moja kwa shilingi 80000 na zaidi,wala usihangaike kutafuta soko lilipo,miezi hiyo kule asali hakuna na inapatikana kwa shida kweli kweli,wanunuzi wapo wakutosha 24/7hrs,wanakutafuta wewe,sio wewe kuwatafuta.
Kama pia unaweza na unasoko tofauti na kuuza kule basi fatilia maliasili wakupe utaratibu wa nini cha kufanya kusafirisha asali.

Kwa maana ukiweka mtaji wa 2m baada ya miezi 4 unapata 4m,ukiweka 5m baada ya miezi hiyo ni 10m,kwa maana kua unanunua asali kwa 40000 kwa ndoo,then unakuja kuuza kwa 80000 kwa ndoo ni mara mbili ya ulichokiweka.
Ukiamua kuchuja mwenyewe kuna faida zaidi kwan yale makapi unatengeneza NTA kwa kuipika utauza 10000 kwa kilo moja.

NJIA NYINGINGINE..
Tafuta pori kule kodi au nunua kwani bado kule ni bei nafuu,unaweza kupata pori hata kwa laki tatu mpaka tano kutegemea na ukubwa na mtu anaekuuzia,chonga mizinga yako ambayo unauwezo nayo,kule mizinga wanachonga kwa 2000 pamoja na kupandisha juu ya miti,hivyo ukichonga mizinga 1000 x kuchonga na kupandisha 2000=2,000,000 jumla kwa idadi ya mizinga 1000.
Ikumbukwe kua mzinga mmoja kwa miezi tajwa hapo juu unaweza kuta kila mzinga unatoa ndoo moja ya asali ambayo haijachujwa,hivyo kwa kipindi cha mwezi wa 3 mpaka 6 kuna maua ambayo nyuki hupendelea kuyatumia ndio msimu wake wa kustawi hivyo uzalishaji unakua mkubwa tofautisha na miezi mingine.

Basi tufanye umehangaika wee ukapata ndoo zako 400 badala ya ndoo 1000,na hii ni makadirio ya chini kabisa na haiwezi kua hivyo hata ukose vipi make nikipindi ambacho uzalishaji ni mkubwa sana kule, chukua hizo ndoo 400 tunza,njoo uza mwezi wa 10/11 kwa 80,000 kila ndoo.hivyo ndoo 400 x 80,000=32,000,000m.

Ukisafirisha unaweza kupata zaidi ya hapo,mimi ndio nimeanza kufanya hivyo sio mjuzi sana bado najifunza,nikivuna ntaleta mlejesho nini kimetokea.

SIKU NJEMA KWENU WOTE.
Barikiwa sana ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamasa upo sahihi eti wewe unaetoa mzigo ndio unabanwa wakati mzigo ulitakiwa wabane wale wanaohitaji kwamba tunahitaji wa kiwango hiki sema wengi sio Wafanyabiashara hasa watunga sheria ndio maana wanaona bora iwepo tuu Tanzania wakati kuna Nchi hiyo asali kidogo tuu huwezi kuigusa kwa bei yake na ya kawaida tu sasa nyingi inaenda Kenya,Rwanda na kwingineko kwa ajili ya kuuza Nchi zilizoendelea...
Nashauri wajasiriamali wawe proactive. Inawezekana sheria na kanuni zilizopo zimepitwa na wakati. Baadala ya kulalamika, wadau waorodheshe vizuizi na mapungufu katika hatua zote mpaka mzigo unaposafirishwa nje na mdau kulipwa. Itapendeza kama kutakuwa na ulinganifu na nchi nyingine za jirani.
Basi waraka kuomba mabadiliko ili kuifanya sekta 'export friendly' na kuna win-win situation ungewasilishwa serikalini au kupitia wabunge. Mbona sekta ina mdau mkubwa aliyehamasisha sana ufugaji wa nyuki ambaye kwa sasa ni waziri mkuu mstaafu.Kwa nini hamfikirii kumtumia huyu kuiinua sekta?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri wajasiriamali wawe proactive. Inawezekana sheria na kanuni zilizopo zimepitwa na wakati. Baadala ya kulalamika, wadau waorodheshe vizuizi na mapungufu katika hatua zote mpaka mzigo unaposafirishwa nje na mdau kulipwa. Itapendeza kama kutakuwa na ulinganifu na nchi nyingine za jirani.
Basi waraka kuomba mabadiliko ili kuifanya sekta 'export friendly' na kuna win-win situation ungewasilishwa serikalini au kupitia wabunge. Mbona sekta ina mdau mkubwa aliyehamasisha sana ufugaji wa nyuki ambaye kwa sasa ni waziri mkuu mstaafu.Kwa nini hamfikirii kumtumia huyu kuiinua sekta?.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwenye biashara changamoto ya competitor wako ndo fursa yako ya kujitanua na kujikuza kibiashara na ndo faida inapo patikana kubwaa,

naamini yeye mwenyew anajua hizo process za ku export lakin yeye sio mjasiriamali bali ni muwekezaji, anaweza kununua mashine za kisasa na kuprocess asali kwa kiwango cha kimataifa kabisa,

Na akiwa alone kwenye issue ya kuexport anatawala masoko mengi na kwa gharama anazo zipanga yeye, akisema atusaidie na sisi wadogo atakua ana jipalilia moto, ndo wengi wanavyo fikiria ivo.

Lakini waziri mkuu alikaa na wafanya biashara na walimwambia kuhusu TFDA, TBS na wengine wengi ambao majukumu yao yanafanana na wamekua kwenye kazi izo kwa kukwamisha biashara za watu tuu kwa kutaka rushwa,

mwarubaini wao ukipatikana itakua ni good start ya hizo vipengele vingine vya export.

***
 
Dawa ya uchumi kulegaleaga iko hapo!

Tuna nature products nyingi sana zinazohitaji kuongezewa thamani kidogo tu ili ku conform na Export Standards. Ila kwa nchi ya kipuuzi inafikiri kuwakaba koo matajiri ndio kuimarisha uchumi.

Vitu vya maana kama hivi havizungumziwi kabisa, na wachumi wapo kibao wenye Ma CV makubwa tu. Wao wakila wakashiba na familia zao ngonjera zinazosalia ni uchumi wetu umeimarika, wengine vijana mjiajiri.
 
Nawasalimu wakubwa kwa wadogo ktk jukwaa hili,
Kuna kipindi nilileta uzi kuuliza mazingira ya Tabora yalivyo kwani mke wangu alipangiwa kazi mkoa huo,mwaka jana mwezi wa 12 nilienda kumtembelea kipenzi changu wilayani sikonge kijiji sitotaja kwa ajili ya kuficha uhalisia wangu,naweza kufahamika mapema kwa watu waliomo humu na wanaishi kule.

Nilipokua kule kuna watu waliniagiza ASALI mbichi kama 3 hivi,hivyo nilipokaribia kuondoka niliamua kutafuta kwa wenyeji wa pale,nilitaka kununua ambayo imechujwa lkn kuna mdau akanmbia ninunue ambayo haijachujwa kwani inauzwa shlingi 80000 kwa ndoo ya lita 20,ambayo ukiichuja inatoa asali lita 10 iliyochujwa na safi kwa matumi.

Nilinunua ndoo mbili kwa shilingi 160000,ili nikitegemea nichuje nipate lita 20 niwapelkee wadau walioniagiza,ajbu kwenye ndoo hizo mbili nilipata lita kama 28 hivi badala ya 20 ikawa faida kwangu,ktk zile ndoo mbili yale makapi(masega) nilipata kama ndoo moja iliyojaa ya lita 20,ambayo nayo ni dili make wanayauza kwa kilo moja shilingi 3000,lakini ukiyapika unapa NTA kama kilo 3 hivi,ambayo kwa kule kilo ya NTA ni 10000/12000 hivyo kwa kilo 3 ni 30000.

UTAJIRI ULIPPO-
Katika uchunguzi wangu ASALI kule inavunwa kwa wingi mwezi wa 6/7 ambapo ndoo ya lita 20 inauzwa mpaka 40000/35000 kwa ndoo moja,na inapanda bei kuanzia mwezi wa 10 nakuendelea mpaka wa 3/4/5 wanapoanza kuvuna tena, mimi nimenunua asali kipindi ambacho imepanda bei.

NAENDELEA HAPA..
Sasa kama unamtaji nenda tabora mwezi wa 6au 7 tafuta sehemu wanazovuna asali,kipindi hicho utanunua kwa 40000 mpaka 35000 kwa ndoo ya lita 20, na nzuri nunua ambayo haijachujwa kabisa ndio faida zaidi,tafuta sehemu au chumba cha kupanga chenye ukubwa wa kutosha kutegemea na kiasi unachohitaji,kule vyumba bado bei nafuu sana vya kupanga kwa mwezi haizidi 20000,lipia miezi mitano au sita then chukua ndoo zako za asali paki humo nenda kaendelee na shuguli zako.

Iikifika mwezi wa kumi mpaka kumi na moja nenda kauze pale pale asali yako ndoo moja kwa shilingi 80000 na zaidi,wala usihangaike kutafuta soko lilipo,miezi hiyo kule asali hakuna na inapatikana kwa shida kweli kweli,wanunuzi wapo wakutosha 24/7hrs,wanakutafuta wewe,sio wewe kuwatafuta.
Kama pia unaweza na unasoko tofauti na kuuza kule basi fatilia maliasili wakupe utaratibu wa nini cha kufanya kusafirisha asali.

Kwa maana ukiweka mtaji wa 2m baada ya miezi 4 unapata 4m,ukiweka 5m baada ya miezi hiyo ni 10m,kwa maana kua unanunua asali kwa 40000 kwa ndoo,then unakuja kuuza kwa 80000 kwa ndoo ni mara mbili ya ulichokiweka.
Ukiamua kuchuja mwenyewe kuna faida zaidi kwan yale makapi unatengeneza NTA kwa kuipika utauza 10000 kwa kilo moja.

NJIA NYINGINGINE..
Tafuta pori kule kodi au nunua kwani bado kule ni bei nafuu,unaweza kupata pori hata kwa laki tatu mpaka tano kutegemea na ukubwa na mtu anaekuuzia,chonga mizinga yako ambayo unauwezo nayo,kule mizinga wanachonga kwa 2000 pamoja na kupandisha juu ya miti,hivyo ukichonga mizinga 1000 x kuchonga na kupandisha 2000=2,000,000 jumla kwa idadi ya mizinga 1000.
Ikumbukwe kua mzinga mmoja kwa miezi tajwa hapo juu unaweza kuta kila mzinga unatoa ndoo moja ya asali ambayo haijachujwa,hivyo kwa kipindi cha mwezi wa 3 mpaka 6 kuna maua ambayo nyuki hupendelea kuyatumia ndio msimu wake wa kustawi hivyo uzalishaji unakua mkubwa tofautisha na miezi mingine.

Basi tufanye umehangaika wee ukapata ndoo zako 400 badala ya ndoo 1000,na hii ni makadirio ya chini kabisa na haiwezi kua hivyo hata ukose vipi make nikipindi ambacho uzalishaji ni mkubwa sana kule, chukua hizo ndoo 400 tunza,njoo uza mwezi wa 10/11 kwa 80,000 kila ndoo.hivyo ndoo 400 x 80,000=32,000,000m.

Ukisafirisha unaweza kupata zaidi ya hapo,mimi ndio nimeanza kufanya hivyo sio mjuzi sana bado najifunza,nikivuna ntaleta mlejesho nini kimetokea.

SIKU NJEMA KWENU WOTE.
Bora nikalime vitunguu saumu,asali kuisafirisha inamlolongo mkubwa kama pembe za ndovu,labda kandoo kako moja kama unatoka safari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom