Kwani madaktari Ethics zao zikoje, pale mgonjwa au mtu anapolazimisha kupatiwa huduma ambayo inaweza kuhatarisha maisha yake?
Kwamba mtu akilazimisha huduma, unampa hata kwa taaluma yako kama daktari unajua ni hatari?
Nilikuwa nafundisha shule ya private primary, kuna mtoto akaniudhi sana nikamchapa kiboko kimoja!
Aisee yule mtoto alidondoka chini kama kazimia, akaanza kuhema kwa shida huku akipiga piga Miguu!
Niliogopa kinoma alipokaa sawa, nilisema sitakuja kuchapa mtoto wa mtu tena. Nasikuwahi kuchapa...
Hata Lucas Mwashamba na Tlatlaa ni account za maroboti ya lumumba
Zamani aliwahi kuwepo Mikocheni Junction ila toka Jiwe atangulie mbele za haki amepoteana!
Kila zama na maroboti yake
NSSF walitoa taarifa wako kwenye marekebisho ya mfumo ijumaa last week.
Hata mimi nilienda kufungua madai, jumatatu wiki hii nikawa nazungushwa zungushwa mara nenda department fulani mara rudi kule. Nikakutana na staff mmoja nikamwambia anielekeze nielekee wapi kwa shida yangu maana nimechoka...
Sasa huyo demu mzuri mrefu badala umgonge, wewe unataka apandikizwe!
Ila ujana hudanganya sana, niliwahi kuwa na mawazo ya kutokuoa nikiwa bado kijana kijana. Saiv ninaelekea kufika thelathini nimeshasettle kimaisha ila sijaoa.
Kuna muda unarudi home kutoka job, unaona kuna kitu kinamiss...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.