Recent content by Mr the dragon

  1. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Ni heri CUF iliyojifia, kuliko hii takataka ACT
  2. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Nadharia ya kifo cha Internet… Unaliona hilo? Je lugha kwetu itaokoa internet zetu? Natumai, ila AI inatisha usipotambua

    Hata Lucas Mwashamba na Tlatlaa ni account za maroboti ya lumumba Zamani aliwahi kuwepo Mikocheni Junction ila toka Jiwe atangulie mbele za haki amepoteana! Kila zama na maroboti yake
  3. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ma-DED, maofisa Utumishi wadaiwa kuzuia walimu kujitoa CWT, kujiunga na vyama vingine

    Hata sisi wa Tuico tunakatwa 2 percent lakini mbona hatulalamiki
  4. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Kwa utaratibu huu, tufunge safari kumuona DG wa NSSF?

    NSSF walitoa taarifa wako kwenye marekebisho ya mfumo ijumaa last week. Hata mimi nilienda kufungua madai, jumatatu wiki hii nikawa nazungushwa zungushwa mara nenda department fulani mara rudi kule. Nikakutana na staff mmoja nikamwambia anielekeze nielekee wapi kwa shida yangu maana nimechoka...
  5. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Hivi wapi nitapata sehemu ambayo wanafanya huduma ya kupandikiza mbegu za uzazi kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke

    Sasa huyo demu mzuri mrefu badala umgonge, wewe unataka apandikizwe! Ila ujana hudanganya sana, niliwahi kuwa na mawazo ya kutokuoa nikiwa bado kijana kijana. Saiv ninaelekea kufika thelathini nimeshasettle kimaisha ila sijaoa. Kuna muda unarudi home kutoka job, unaona kuna kitu kinamiss...
  6. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Hakuna anayewaonea wivu ajira tunazo na tunatamba nazo! Sasa wote tukijiajiri nani atakuwa mteja wenu?
  7. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Natumai amejifunza Hope Lisa pia ujana ulikuwa unamsumbua!
  8. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Wanawake ni viumbe hatari sana, nimemuona brother Mabeste chozi limetaka kunitoka

    Siku ya kwanza nasikia story za mapenzi ya mabeste na Lisa, nilihisi ipo siku huyo demu atampiga za uso. Ilikuwa 2013 au 2014 walienda clouds kwa ajili ya interview. Mabeste alikuwa kwenye mgogoro wa maslahi na producer Hammy B! Yule demu alimnanga sana Hammy B, akatoa matusi mengi na shombo...
  9. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amefanya mazungumzo na Viongozi wa Vyama vya Siasa Ikulu Dar es Salaam

    Unaonaje Lisu ahusishwe kwenye maridhiano au afungwe?
  10. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Mtazunguka kote ila ukweli utabaki, ni kwamba watu weupe hasa wazungu na watu wa Asia wanatuzidi akili.
  11. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    Kigamboni
  12. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania HOJA Malipo ya 'Special lumpsum' ya NSSF si ya haki

    Mimi nilifungua madai nikaambiwa nitalipwa ndani ya siku thelathini, lakini ndani ya wiki tu nililipwa
  13. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

    Unaleta utani kwenye vitu serious bro! Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa. Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni. Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na...
Back
Top Bottom