Hata Lucas Mwashamba na Tlatlaa ni account za maroboti ya lumumba
Zamani aliwahi kuwepo Mikocheni Junction ila toka Jiwe atangulie mbele za haki amepoteana!
Kila zama na maroboti yake
NSSF walitoa taarifa wako kwenye marekebisho ya mfumo ijumaa last week.
Hata mimi nilienda kufungua madai, jumatatu wiki hii nikawa nazungushwa zungushwa mara nenda department fulani mara rudi kule. Nikakutana na staff mmoja nikamwambia anielekeze nielekee wapi kwa shida yangu maana nimechoka...
Sasa huyo demu mzuri mrefu badala umgonge, wewe unataka apandikizwe!
Ila ujana hudanganya sana, niliwahi kuwa na mawazo ya kutokuoa nikiwa bado kijana kijana. Saiv ninaelekea kufika thelathini nimeshasettle kimaisha ila sijaoa.
Kuna muda unarudi home kutoka job, unaona kuna kitu kinamiss...
Siku ya kwanza nasikia story za mapenzi ya mabeste na Lisa, nilihisi ipo siku huyo demu atampiga za uso.
Ilikuwa 2013 au 2014 walienda clouds kwa ajili ya interview. Mabeste alikuwa kwenye mgogoro wa maslahi na producer Hammy B!
Yule demu alimnanga sana Hammy B, akatoa matusi mengi na shombo...
Unaleta utani kwenye vitu serious bro!
Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa.
Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni.
Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.