Recent content by Mr the dragon

  1. Mr the dragon

    Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

    Unaleta utani kwenye vitu serious bro! Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa. Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni. Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na...
  2. Mr the dragon

    Do not give a permanent solution to a temporary problem. Kwa dunia ya sasa nakushauri usioe

    Siku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa. Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya. Wanawake wema bado wapo.
  3. Mr the dragon

    Naumwa sana korodani, naomba ushauri

    Ukishapata gonorrhoea inabidi upunguze speed, maana unakuwa umekaribia kuufikia Ukimwi.
  4. Mr the dragon

    Namna wachezaji mpira wa nje wanavyomiliki Ardhi Tanzania

    Dunia ni yetu sote. Haya mambo ya kugawana vipande ni ubinafsi tu.
  5. Mr the dragon

    Don't be a nice guy

    Bado unaweza ukamzidi kipato na akaliwa na unaowazidi pesa, elimu, mwonekano, exposure etc Mwanamke anaweza kumpendea mtu, kitu cha kidogo tu na akaliwa.
  6. Mr the dragon

    Don't be a nice guy

    Vijana acheni kudanganyana. Haya makitu hayanaga formular. Unaweza kuwa bad boy na ukala makombo vilevile. Mapenzi hayanaga formular.
  7. Mr the dragon

    PreGE2025 Picha: Wameamua kumdhalilisha Peter Msigwa. Ukimtazama usoni amefadhaika sana

    Njaa ukiiendekeza mbaya sana. Sema mambogamboga yanaweza kumpa hata ukuu wa mkoa.
  8. Mr the dragon

    Tumalize mjadala: Sergio Busquets Vs Rodri

    Bouquet all days. Bosquet akiwa kwenye ubora wake, ni sawa na Rodri wawili wakiwa kwenye ubora wao.
  9. Mr the dragon

    ALAINE: Huyu mama wa Ki Jamaica anaimba sana

    Ndio maana nimesema nimeshakuwa mhenga. Nilimsikiliza sana miaka zaidi ya kumi iliyopita. Alikuwa bado binti mdogo, nashangaa sasa anakuwa termed kama mmama.
  10. Mr the dragon

    ALAINE: Huyu mama wa Ki Jamaica anaimba sana

    Huyu Binti Alaine naye sasa anaitwa mmama, aisee! Nimeshakuwa mhenga sasa
  11. Mr the dragon

    Kuna pages huko Facebook zinauza pikipiki hadi 700,000 , 800,000 , 1,000,000 n.k hivi hizi ni nzima????

    Ogopa kununua vitu used hapa bongo. Nunua tu pale unapokuwa na uhakika anayekuuzia ni mmiliki halali wa hiyo mali. Kuna mali zingine za wizi.
Back
Top Bottom