Recent content by Mr the dragon

  1. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Uchunguzi wa kifo cha aliyeongeza uume yatoka rasmi

    Kwani madaktari Ethics zao zikoje, pale mgonjwa au mtu anapolazimisha kupatiwa huduma ambayo inaweza kuhatarisha maisha yake? Kwamba mtu akilazimisha huduma, unampa hata kwa taaluma yako kama daktari unajua ni hatari?
  2. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Alijiunga NSSF kwa kutumia Passport, sasa hivi anataka kutoa pesa anaambiwa lazima awe na NIDA. Hii imekaaje kisheria?

    Aende wizara ya Aridhi akachukue deed poll, ayakane majina yake ya zamani atachukua pesa zake
  3. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Saa Sita Mchana: Muda Hatari Zaidi Kuliko Usiku wa Manane!

    Ujinga nao ni kipaji!
  4. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

    Migiro kilaza tu kazi UN ilimshinda, ndio maana aliondoka kwenye unaibu katibu mkuu kabla ya Ban K Moon aliyemchagua!
  5. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Mara: Walimu sita wa kidato cha Sita mbaroni kwa mauaji ya mwanafunzi wao

    Nilikuwa nafundisha shule ya private primary, kuna mtoto akaniudhi sana nikamchapa kiboko kimoja! Aisee yule mtoto alidondoka chini kama kazimia, akaanza kuhema kwa shida huku akipiga piga Miguu! Niliogopa kinoma alipokaa sawa, nilisema sitakuja kuchapa mtoto wa mtu tena. Nasikuwahi kuchapa...
  6. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Ni kawaida mtu mwenye tatizo la afya ya akili kusingizia wazazi, ndugu au girlfriend ndio wamemsababishia!
  7. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Jussa: Kuna watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko wanataka tuwafuate

    Ni heri CUF iliyojifia, kuliko hii takataka ACT
  8. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Nadharia ya kifo cha Internet… Unaliona hilo? Je lugha kwetu itaokoa internet zetu? Natumai, ila AI inatisha usipotambua

    Hata Lucas Mwashamba na Tlatlaa ni account za maroboti ya lumumba Zamani aliwahi kuwepo Mikocheni Junction ila toka Jiwe atangulie mbele za haki amepoteana! Kila zama na maroboti yake
  9. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ma-DED, maofisa Utumishi wadaiwa kuzuia walimu kujitoa CWT, kujiunga na vyama vingine

    Hata sisi wa Tuico tunakatwa 2 percent lakini mbona hatulalamiki
  10. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Kwa utaratibu huu, tufunge safari kumuona DG wa NSSF?

    NSSF walitoa taarifa wako kwenye marekebisho ya mfumo ijumaa last week. Hata mimi nilienda kufungua madai, jumatatu wiki hii nikawa nazungushwa zungushwa mara nenda department fulani mara rudi kule. Nikakutana na staff mmoja nikamwambia anielekeze nielekee wapi kwa shida yangu maana nimechoka...
  11. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Hivi wapi nitapata sehemu ambayo wanafanya huduma ya kupandikiza mbegu za uzazi kutoka kwa mwanaume kwenda kwa mwanamke

    Sasa huyo demu mzuri mrefu badala umgonge, wewe unataka apandikizwe! Ila ujana hudanganya sana, niliwahi kuwa na mawazo ya kutokuoa nikiwa bado kijana kijana. Saiv ninaelekea kufika thelathini nimeshasettle kimaisha ila sijaoa. Kuna muda unarudi home kutoka job, unaona kuna kitu kinamiss...
  12. Mr the dragon

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Hakuna anayewaonea wivu ajira tunazo na tunatamba nazo! Sasa wote tukijiajiri nani atakuwa mteja wenu?
Back
Top Bottom