Kwa hiyo mashabiki wa ManSeven na Chelsea mmegeukia kumshangilia mme wenu Man city.
Yaani wanaume wanapambana ligi isigeuzwe bundersliga. Nyie mnambong'olea man city.
Takataka kabisa nyie.
Aisee kuna brother wangu anakaa mitaa hiyo, karibu na Mary's.
Jirani yake na nyumbani kwao yule msanii Izzo bizness.
Vipi madhara kwenye nyumba kipande hicho, namcheki kwenye simu simpati.
Unapaki basi dakika tisini, unakuja kutolewa kwa Penalty, si bora ufunguke tu unaweza kushinda.
Ukitoa Chelsea ya 2012, sijawahi kuona timu nyingine iliyowahi kuchukua ubingwa kwa kupaki bus.
Utopolo takataka kabisa!
Nimefika nchi nyingi Africa. Nimefika Kenya, Uganda, Rwanda, Congo, Zambia, Zimbabwe, Namibia, Msumbiji na South Africa.
Asikwambie mtu Tanzania kuna watoto balaa!. South Africa na Namibia pia nilipakubali pia kwenye idara ya warembo.
Rwanda is overrated!
Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali.
Naombea tukutane na Barcelona.
Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana.
Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
Shida Mayele anapenda sifa, amemiss zile sifa na hype alikuwa anapewa na wabongo.
Kwa bahati mbaya sasa hizo sifa huwezi kupewa ukiwa nje ya Simba au Yanga.
Azam imepoa mno, inazidiwa hadi na Coastal union
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.