Unaleta utani kwenye vitu serious bro!
Huwa wanaumwa ghafla hata nguvu ya kushika simu unakoswa.
Huwa wanaumwa hata mwaka mzima huna nguvu ya hata ya kula, kupika, kuoga na kwenda chooni.
Kama una mshikaji ambaye anaweza kuwa na wewe masaa yote. Akulishe, akuogeshe, afue nguo ulizojinyea na...
Siku utakayoumwa usiku na kukosa mtu wa kukupa msaada, ndio utajua umuhimu wa kuoa.
Sorry mleta maada sikukusudii wewe. Ila binafsi naona hizi maada zinaletwa na mashoga ili tuwaone wanawake ni wabaya.
Wanawake wema bado wapo.
Bado unaweza ukamzidi kipato na akaliwa na unaowazidi pesa, elimu, mwonekano, exposure etc
Mwanamke anaweza kumpendea mtu, kitu cha kidogo tu na akaliwa.
Ndio maana nimesema nimeshakuwa mhenga.
Nilimsikiliza sana miaka zaidi ya kumi iliyopita. Alikuwa bado binti mdogo, nashangaa sasa anakuwa termed kama mmama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.