Recent content by Mr the dragon

  1. Mr the dragon

    Ajira Utendaji wa Kata

    Mbona huwa zinatangazwa mkuu. Jaribu kuwa na makundi ya WhatsApp na Telegram yanayotangaza ajira utaziona. Umejiunga na ajira Portal?
  2. Mr the dragon

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwa hiyo mashabiki wa ManSeven na Chelsea mmegeukia kumshangilia mme wenu Man city. Yaani wanaume wanapambana ligi isigeuzwe bundersliga. Nyie mnambong'olea man city. Takataka kabisa nyie.
  3. Mr the dragon

    Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

    Aisee kuna brother wangu anakaa mitaa hiyo, karibu na Mary's. Jirani yake na nyumbani kwao yule msanii Izzo bizness. Vipi madhara kwenye nyumba kipande hicho, namcheki kwenye simu simpati.
  4. Mr the dragon

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Friends of ManSeven we gather here...
  5. Mr the dragon

    Yanga waningia kwenye vitabu vya guiness record

    Malalamiko FC Kulalamika ni kawaida yao hao Ushindi wa mpira wa miguu unapatikana uwanjani peke yake, sio mahakamani.
  6. Mr the dragon

    Kwa takwinu hizi, Yanga kutolewa ni haki, ingeitoa Mamelodi ndio isingekuwa haki, Mamelodi alikuwa timu bora

    Unapaki basi dakika tisini, unakuja kutolewa kwa Penalty, si bora ufunguke tu unaweza kushinda. Ukitoa Chelsea ya 2012, sijawahi kuona timu nyingine iliyowahi kuchukua ubingwa kwa kupaki bus. Utopolo takataka kabisa!
  7. Mr the dragon

    Stori gani uliwahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe 'kamba'?

    Hahaha! atakuwa Roberto Carlos! Sema alikuwa na mashuti makali kweli sio mchezo.
  8. Mr the dragon

    Arsenal wakiongoza ligi ngumu sana kusikiliza ushauri

    The most attractive club in the world. Miaka zaidi ya 20 haina kombe na bado iko kwenye headline kila siku.
  9. Mr the dragon

    Afrika walimbwende wapo South Africa na Nigeria, kwamba Tanzania wamejaa sura za baba tu how come?

    Nimefika nchi nyingi Africa. Nimefika Kenya, Uganda, Rwanda, Congo, Zambia, Zimbabwe, Namibia, Msumbiji na South Africa. Asikwambie mtu Tanzania kuna watoto balaa!. South Africa na Namibia pia nilipakubali pia kwenye idara ya warembo. Rwanda is overrated!
  10. Mr the dragon

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunatakiwa kulipa kisasi dhidi ya Barcelona siku ya fainali. Naombea tukutane na Barcelona. Uhuni walioufanya 2006, hatujausahau. Barcelona timu ya majizi sana. Japo ili kufika hapo tutahitaji kupanda milima mirefu kwelikweli. Uzuri Arsenal hii inaweza kupambana na timu yoyote na ikapata matokeo.
  11. Mr the dragon

    Habari za uhakika Mayele anarudi Tanzania na anasajiliwa Azam FC

    Shida Mayele anapenda sifa, amemiss zile sifa na hype alikuwa anapewa na wabongo. Kwa bahati mbaya sasa hizo sifa huwezi kupewa ukiwa nje ya Simba au Yanga. Azam imepoa mno, inazidiwa hadi na Coastal union
  12. Mr the dragon

    TANZIA Rais wa awamu ya pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi afariki dunia

    RIP Mzee wa ruksa! Hakika umeandika hadithi njema ya maisha yako.
  13. Mr the dragon

    Mambo matatu yanayo nichanganya Kwa wanaume wezangu!

    Mwanaume anayependa kuandika huku akitumia rangi za upinde unnecessarily, huwa naona kama ni member wa chama cha upinde anapiga promo ya chama Chao.
Back
Top Bottom