A
Anonymous
Guest
Nimekuwa nikichangia fedha kwenye mfuko wa NSSF kwa zaidi ya miezi 88.
Baada ya kuwasilisha madai ya kupata special lumpsum baada ya mkataba wa kazi kumalizika, nilipewa jumla ya kiasi kilekile nilichokuwa nimechangia bila nyongeza yoyote.
Hali hii si sahihi. Je, mfuko hautumii fedha hizo kuwekeza na kuzalisha mapato?
Kutolipwa ongezeko lolote ni aina ya dhulma, kwani thamani ya shilingi 10,000 ya mwaka 2017/2018 si sawa na thamani ya shilingi 10,000 ya mwaka 2026 kutokana na mabadiliko ya gharama za maisha na thamani ya fedha.
Baada ya kuwasilisha madai ya kupata special lumpsum baada ya mkataba wa kazi kumalizika, nilipewa jumla ya kiasi kilekile nilichokuwa nimechangia bila nyongeza yoyote.
Hali hii si sahihi. Je, mfuko hautumii fedha hizo kuwekeza na kuzalisha mapato?
Kutolipwa ongezeko lolote ni aina ya dhulma, kwani thamani ya shilingi 10,000 ya mwaka 2017/2018 si sawa na thamani ya shilingi 10,000 ya mwaka 2026 kutokana na mabadiliko ya gharama za maisha na thamani ya fedha.