Recent content by Mr RMJ

  1. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Lissu: Brenda Rupia amaliza kutoa ushahidi, Heche kupokea kijiti

    Huyu genius ndiye niliyekuwa namgoja. 🍿🍿
  2. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    Tayari 🔥 Hii hapa kwa Kiswahili, nikiweka mvuto ule ule: --- Mtazameni Emmanuel Nchimbi, Makamu wa Rais ambaye alinyang'anywa uanachama wake wa chama na kufukuzwa katika ofisi yake ya heshima kubwa kwa sababu ya: 1. Kutetea umma, raia waliotekwa nyara kinyume cha sheria na vyombo vya dola...
  3. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Nchimbi is not a cadaverous fish drifting pro forma with every current. He is piscis vivus

    This some complex English
  4. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Kuna uhakika kiasi gani kwamba ni kweli Nchimbi mwenyewe amejiuzulu siasa?

    Niliwaza kitu kama hiki pia. Tujipe muda kila kitu kitakuwa wazi. Hawa magaidi waliojificha kwenye uanachama wa ccm sugu madarakani muda wao umesalia mdogo sana kuendelea na uovu nchini.
  5. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Stress za kukosa uteuzi zina haribu ubongo wa Pro. Tibaijuka

    Nitajie mwana cm anayepigania agenda kwa akili na siyo mihemko usinitajie makonda au Samia hao ni wenye uwezo mdogo sana wa kufikiri
  6. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    Hapa Malawi ili ujoin chama tawala kigezo uwe tayari unaskendo mbovumbovu, uwe mbadhirifu uwe mweupe kichwani ila mpiga domo na utapewa nafasi za juu Hapa
  7. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Ungepata nafasi ya kurudi chuo ungesoma nini na kwanini? Unawashauri nini vijana wanaoingia chuo mwaka huu?

    Ningesoma geology. Ni kozi ambayo ingenipa fursa zaidi kwa hiki nachojishugulisha nacho kwa sasa. I was fool kuamua kusoma ile kozi
  8. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Pukutiko linaendelea...

    🍿 🍿
  9. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    It's tho It's thought si swali mkuu.
  10. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    Nchi ipo coordinated kipumbavu kuanzia intelligence, law enforcement units na mahakama zote Mali za ccm. Kwanini mahakama isidismiss hyo kesi
  11. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Wakili Wasonga: Mhadhiri wa UDOM anatuhumiwa kuchoma majengo ya umma pamoja na makazi ya askari Polisi yote nchini

    When dumbs runs government expect terrible things.
Back
Top Bottom