Mafumbo mengine sana mzee, wasanueni watesi wa tanganyika (govt) kuwa sisi wanachi Tunasapoti waliokinyume na selikali batili na katili. Acha uchumi uyumbe wameshindwa kuulinda kwa misingi thabiti. Wakiuwa mmoja wanatengeneza engine miamoja.
CCM mmekabidhi rasilimali kwa waarabu. Na mnakandamiza na kuua raia. Makosa yenu ya kiutawala mnawaangushia wananchi kwa kuwajazia kodi zisizokuwa na maana. Tuwape Nchi chadema nao tuwaone
Ccm hawana tech yoyote. They're good ata killing innocent citizens. Joseph Gwajima hawakumkata na alifanya kama alichofanya HP. Circle ya polpole walimuuza
Marekani anakosa nini kwake aje ashobokee nchi ambayo hata haiwezi tenga bajeti kwaajili wagonjwa wa ukimwi mpaka isaidiwe. Mkuu acha kutumia makalio kufikiria.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.