Recent content by Mr RMJ

  1. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Chacha: Vyombo vya usalama mfuatilie Heche kwa kauli zake

    Kwanini wasimfuatilie mwaipopo
  2. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Mafumbo mengine sana mzee, wasanueni watesi wa tanganyika (govt) kuwa sisi wanachi Tunasapoti waliokinyume na selikali batili na katili. Acha uchumi uyumbe wameshindwa kuulinda kwa misingi thabiti. Wakiuwa mmoja wanatengeneza engine miamoja.
  3. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Uingereza yaruhusu Marekani kutumia kambi zake kuendeleza mashambulizi dhidi ya Iran

    Haya sasa kichapo kiendelee
  4. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Mkiambiwa kuwa Watu wengine tunajua Mpira msiwe mnanuna au kuwa na Husuda nasi hapa JamiiForums sawa?

    Timu ni nyingi sana talented charismatic fella. Ungebashiri walau mbili
  5. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    She's too dumb to be a president. Indeed you stupid chawa knows that
  6. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    CCM mmekabidhi rasilimali kwa waarabu. Na mnakandamiza na kuua raia. Makosa yenu ya kiutawala mnawaangushia wananchi kwa kuwajazia kodi zisizokuwa na maana. Tuwape Nchi chadema nao tuwaone
  7. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Nawashangaa sana wale wanaosheherekea vikwazo! Si watu wema kwa taifa letu ni wa kupigwa mawe!

    CCM ni kundi la watu wasiotakia ustawi hii nchi.
  8. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Napata utata kuhusu video za Humphrey Polepole

    Ccm hawana tech yoyote. They're good ata killing innocent citizens. Joseph Gwajima hawakumkata na alifanya kama alichofanya HP. Circle ya polpole walimuuza
  9. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Wales Yapendekeza Sheria ya Kuwafunga Wanasiasa Wanaotoa Ahadi za Uongo kwenye Kampeni za Uchaguzi

    Hii sheria isingewaacha salama ccm wote
  10. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Mawakili: Mwandambo amefikishwa mahakamani bila ndugu wala mawakili kujua!

    Fu*k the system
  11. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Ninyi Watanzania, hao wageni mnaowapa siri na kuchafua nchi yenu ndio hao wanaowasubiri mfe wote ili watawale ardhi yenu kwasababu ardhi yao imeshajaa

    Marekani anakosa nini kwake aje ashobokee nchi ambayo hata haiwezi tenga bajeti kwaajili wagonjwa wa ukimwi mpaka isaidiwe. Mkuu acha kutumia makalio kufikiria.
  12. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Mfumo dume, chuki wivu na udini ni baadhi ya sababu kwa watu kueneza chuki dhidi ya utawala wa awamu ya sita

    She's incompetent. Alishindwa kufaulu mtihan wA kidato cha nne atafaulu kuendesha nchi?
  13. Mr RMJ

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati acheni uwongo sasa.

    Basi semeni mliua wangapi, na mliwapeleka wapi.
Back
Top Bottom