Recent content by Mr. Purpose

  1. Mr. Purpose

    Kipi bora kununua nyumba au kujenga mwenyewe?

    Bora kujenga mwenyewe kuliko kununua. Ukiachana na ubora ila kuna amani ya moyo unakuwa nayo unapoishi kwenye nyumba uliyoshiriki Kiroho, kimwili na kiuchumi kuinyanyua hadi mwisho.
  2. Mr. Purpose

    Hivi utaratibu wa kumuhamisha mtoto kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine upoje?

    Wasiliana na shule unayotaka kumpeleka mtoto wakupe utaratibu wao wa kupokea wanafunzi wanaohamishwa.
  3. Mr. Purpose

    Uuzaji wa viwanja kwa mfumo wa TAUSI ni kama kuna michezo hivi

    Ni kweli mkuu. Bei zake zilikuwa chini sana kuliko kawaida. Ukipiga hesabu ni kama waliuza 1 sqm kati ya 3,000 au 4,000.
  4. Mr. Purpose

    Uuzaji wa viwanja kwa mfumo wa TAUSI ni kama kuna michezo hivi

    Zilivyobaki dakika 5 ifike saa 4 kamili mfumo ukawa down baada ya saa 4 kamili kufika naingia kuchagua nakuta hamna kitu. Hapo ndiyo nikaelewa vinabebwa juu kwa juu.
  5. Mr. Purpose

    Ni somo gani umejifunza katika maisha

    Usalama wako namba moja ni Akiba yako. Usiishi bila kuwa na Akiba. Na akiba yako usitumie kusaidia mtu yoyote! Kama unadhani wanakujali subiri wakati wa matatizo utaelewa.
  6. Mr. Purpose

    Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Kuna grace period unapewa ila inategemeana na utaratibu wa halmashauri husika. Ila kuna asilimia lazima uanze kulipa halafu inayobaki unamalizia kwa muda uliopewa kutegemeana na halmashauri hiyo.
  7. Mr. Purpose

    Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Vimerud vingi sana ingia angalia
  8. Mr. Purpose

    Uuzwaji wa viwanja vya serikali mtandaoni ni hatua kubwa sana

    Walionunua viwanja Kibaha pangani Projects naona vimerudi vingi, tatizo ni nini? Na mliolipia tunaomba kujua ni document gani unapewa baada ya kumaliza malipo yote kabla haujapata hati
  9. Mr. Purpose

    Nilivyoweza kujinasua kwenye gharika la ndugu omba omba, Nilionekana mbahili lakini wanaanza kunielewa, pesa yangu siwezi kuitoa bila uwajibikaji

    1. Saida ukiwa na uwezo wa kusaidia. Mapato yako yaruhusu kutoa msaada tofauti na hapo unajitengenezea majanga. 2. Saidia watu SAHIHI. Siyo kila mtu unapaswa kumsaidia haijalishi ni ndugu au siyo ndugu. Isikilize sauti yako ya ndani ikikuambia toa, toa kweli ila ikikuambia usitoe hatakama...
  10. Mr. Purpose

    Kuna ulazima gani wa mimi kujenga nyumbani ikiwa mm naishi mjini?

    Inategemeana umetoka familia ya aina gani kiuchumi. Wengine kwetu hata nyumba za kulala wadogo zetu tuliowaacha kijijini hawana. Sioni shida kupaboresha ili kuwatengenezea mazingira mazuri. Tunatofautiana sana kwahiyo angalia mazingira ya kwenu kisha ujiulize kama unaridhika napo au lah...
  11. Mr. Purpose

    Kuna mpenzi wangu nilikua nampenda sana (na bado nampenda) ila kanipiga tukio ambalo najiuliza nimsamehe?

    Ukikua utaacha huo ujinga mkuu. Ni wakati wako ngoja upigwe matukio ukomae vizuri. Ni suala la muda tu utaelewa mwanamke siyo kiumbe cha kuendekezwa.
  12. Mr. Purpose

    Msaada kuhusu fixed account

    Mkuu katika haya maisha hakuna mtu yeyote anayejali kuhusu wewe. Kila mtu yupo na wewe kwasababu maalumu na wengi wanakuwa na wewe wakiona una kitu ambacho wanaweza kupata kutoka kwako. Acha kutumia hisia kufanya maamuzi bali tumia ubongo. Akiba ni mbegu na ni msingi wa kuyajenga maisha yako...
  13. Mr. Purpose

    Kuna utofauti sana kati ya biashara inayomilikiwa na muajiriwa na biashara ya mtu aliyejiajiri pekee

    "Biashara za waliojiajiri peke ake hazina uhakika sana, sales ni rise and fall!" Miujiza kwa tuliojiajiri ipo hapo kwenye rise and fall ya mauzo. Kuna siku au mwezi unaweza kupiga hela mpaka ukashangaa mwenyewe.
  14. Mr. Purpose

    Utawasikia wanasema binadamu wote ni sawa. Ni uongo!

    Hamna usawa hapo. Mentally, Physically na hata Spiritually.
  15. Mr. Purpose

    Utawasikia wanasema binadamu wote ni sawa. Ni uongo!

    Huu uzi kwenye comments watu wanajifariji sana. Ila ukweli ni kwamba kiuumbaji sote kwa macho ya nyama ya kawaida TUNAJIONA tupo sawa ila SIYO KWELI. Binadamu hatupo sawa hata kidogo. Tunapenda tu kujitia moyo ila HATUPO SAWA hata kidogo. Kiroho, Kimwili, Kiakili na hata kimaisha kwa ujumla...
Back
Top Bottom