Recent content by Mr price

  1. Mr price

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sijakaa sana huko tumia Airtel itakuwa best kwa uzoefu wangu
  2. Mr price

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    TTCL or Airtel 🔥🔥🔥🔥🔥
  3. Mr price

    Msaada mtoto wangu mbegu moja imepotea

    Pole sana mkuu kwa comment nilizoziona hakika nijanga kubwa sana mtu unaomba ushauri watu wengine wanakubeza kama uko serious nitafute inbox nikuelekeze mahali ambapo utapata tiba sahihi kwa ajili ya mwanao
  4. Mr price

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ninakupa odds 3 fixed bure njoo dm
  5. Mr price

    Kwa mshahara wangu wa million moja, itanichukua miaka mingapi kununu hii chuma?

    Ok kama unataka halali chukua huo mkopo ufungue biashara ya harder wear utafanikiwa
  6. Mr price

    Kwa mshahara wangu wa million moja, itanichukua miaka mingapi kununu hii chuma?

    Omba mkopo kazin kwako wa milioni 50 alafu tafuta odds 3 fixed utie mpunga mkuu
  7. Mr price

    PreGE2025 Gambo ajibu mapigo ya Makonda "mimi nimeenda shule"

    Mr. Gambo is one of the most ignorant leaders in the world.
  8. Mr price

    Uzi wa vyakula tu

    Karibuni sana
  9. Mr price

    Wenye mamlaka, Pigeni Ban VPN

    Mkuu kwanini usinunue kisiwa chako mwenyewe alafu uzipige ban zote na kwani hauna gari mpaka upande daladala sio kwa ubaya nawasilisha
  10. Mr price

    Kwanini watu wanaponda kilimo licha ya soko la bidhaa yake kuwa na uhakika?

    Nyanya 🍅 na aviator tofauti yake ni bando tuu
  11. Mr price

    Kwanini watu wanaponda kilimo licha ya soko la bidhaa yake kuwa na uhakika?

    Nakumbuka kilimo cha nyanya 🍅 kilivyonifanyia 2017_2023 nashindwa hata kusimulia😓😓😓
  12. Mr price

    TANZIA MwanaJF Dada Niah amefariki dunia akipatiwa matibabu Dodoma General hospital

    Raha ya milele umpe ee bwana na mwanga 🕯️ wa milele umwangazie apumzike kwa aman.
Back
Top Bottom