Lowassa kawapandisha chati Chadema ,hili halina ubishi bali ni chuki binafsi dhidi yake kusema kuwa ndie kawakosesha ushindi.Kushindwa kulikuwapo tu,hata asingekuwa yeye mgombea
Utumwa ,utumwa,utumwa.
Subirini moto tu,hasa viongozi wa dini ndio moto utawashukia kwa nguvu kwa sababu ya kuweka maslahi yao mbele kwa kisingizio cha jina la mungu.
ningefurahi pia kama wangekuwa wanaonyesha faragha za askari wa pikipiki na wanaosimama na bunduki barabsrani wanavyowanyanyasa raia na bidhaa wanazitoka kununua madukani,utadhani wame import ni shida sana.
Ana ruksa kutoa ya moyoni mwake ili murad asivunje sheria,ikibainika ana nia ya kutugawa Wa Tz kwa kigezo cha udini na ukabila hatua dhidi yake zichukuliwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.