Yeye yuko kwa nani - kwa lowassa au kwa Magufuli?Serikali za mitaa ccm waligaragazwa vibaya
Leo amehama wewe je..?Lembeli ni moja ya wabunge wanaonifanya niendelee kuwa mwana CCM.
Mkuu vuta subira, October atavaa gwanda.
Serikali za mitaa ccm waligaragazwa vibaya
Mbunge wa Kahama Mjini (ccm) na
Mwenyekiti wa kamati ya bunge maliasili
na utalii James Lembeli Amehamia
Chadema
Leo amehama wewe je..?
Akihutubia Mamia ya Wananchi Jimboni kwake, Mbunge wa Kahama, amewataka wananchi wake wafanye kama walivyofanya uchaguzi wa mtaa,
Kwamba kama chama chake kinaweka mtu asiyekubalika yeye afanyeje?...."Mimi ndio wa kuja kuzomewa? Mtu anatishia kukata jina, basi kateni jina langu, ukate jina langu we nani? "basi kateni Jina langu muone" aliongeza mbunge huyo machachari huku akishangiliwa na hadhara aliyokuwa akihutubia
Source ITV.
Hii inaonesha CHADEMA imewaingia wananchi kwenye damu....... note ...fanyeni kama mlivyofanya uchaguzi wa serikali za mitaa na wananchi kushangilia Kwa nguvu.........
Mbunge wa Kahama Mjini (ccm) na
Mwenyekiti wa kamati ya bunge maliasili
na utalii James Lembeli Amehamia
Chadema
Mkuu kama ni kweli ni pm kesho takutumia picha nikiwa na Gwanda maana hadi sasa anayenichelewesha ni Lowassa tu. NB: Nilikuwa mfuasi mtiifu wa Lowassa na bado ni mtiifu kwake.
Wewe ni mtiifu wa lembeli au lowasa.
Karibu mkuu sisi tupo kitambo.Kaka tuweke siasa pembeni, Lembeli ni tofauti sana na mbuge wangu Ezekiel Maige. CCM ilikuwa inabebwa na Lembeli,Ester Bulaya, Kangi Lugola na Filikunjombe,wengine hao waliobaki ni wabunge wachumia tumbo. Mimi nilijiunga CCM 1994. Kamwe sitapiga kura kwa kuangalia kabila langu never!! Lembeli ni mbuge mwenye hazi ya pekee. CCM Kahama walikuwa wanamnyanyapaa kwa kusimamia ukweli. Lowassa kwangu namuona kama kiongozi ambaye hawezi n kuongozwa kwa remote za JK na R1 ndiyo sababu wamemkata. No way out lazima nijisalimishe UKAWA kama ni kweli Lembeli ameamua kurudi Upinzani japo ningejifariji sana na Edo akichomoka.
Anajihami tu, hawezi tena siasa za ushindani!
Karibu mkuu sisi tupo kitambo.
Atoke huko