Yanga ni timu ya serikali na chama, kwahyo hawezi mtu kuwa Rais na hasiwe mwanayanga..Nyerere Yanga,Mwinyi Yanga, J.K Yanga, Samia Yanga...kusubiri Rais hasiwe Yanga basi Yanga itachukua back to back mpaka 2090 huko.
Watu wengi kitu ambacho hawakifahamu ni kwamba, kipindi uislam unaingia kwa maana kipindi ambacho Mtume mwenye alikuwepo hapa duniani, watu walikuwa wanaingia na viatu msikitini, kwasababu kipindi kile mazingira ya msikiti siyo kama sasa, msikitini palikuwa ni jengo tu lenye michanga,udongo na...
Hiyo njia ya 3. Kufanya Kazi Kwa Bidii na Maarifa, kwa kweli utajiri haupatikani kwa kufanya kazi kwa bidii, ukifanya kwa bidii utaishia kupata hela ya kula tu, ndio maana RC alisema pesa inategwa.
Hujui chochote kuhusu madaraja, hakuna sababu yakupigizana kelele.
Ila cha kukuongezea tu, serikalini siyo kama sekta binafsi , ndani ya miaka mi3 ushafanya kazi kampuni 4,wengi serikalini wanafanya kazi zaidi ya miaka 20, na kila baada ya miaka mitatu watu wanapanda vyeo, kwahyo kwa mtu...
Acha roho ya kichawi wewe, nenda VETA kajifunze hata kufuga nyuki ili ujiajiri kuliko kuwachawia wenzio.
Ebu nipe mfano hata wa nchi 1 , baada ya ugumu wa ajira, umri wa kustaff ukashushwa then likaondoa tatizo la ajira. Au kama ili ni gumu sana, nipe mfano wa nchi hata 1 ambayo umri wa kustaff...
Sasa Mkuu kama umri wako ni miaka 27, hapo si teyari moja kwa moja Tangazo linakuhusu na utaomba kama mtu mwenye Degree.
Serikalini kidogo mfumo ni tofauti, kwa mfano jeshi cheo cha kwanza cha msomi , nafikiri wao msomi ni mwenye Diploma, Degree na kuendelea ni Nyota 1 (Hii kama umeenda...
Shida wengi wenyewe master wanakaribia kustaff, sasa mafunzo ya jeshi utafanya vipi Mkuu.
Hizi kazi za vijana za kukimbizana na kuluka kichura, sisi wazee tuachane nazo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.