Watu wengi kitu ambacho hawakifahamu ni kwamba, kipindi uislam unaingia kwa maana kipindi ambacho Mtume mwenye alikuwepo hapa duniani, watu walikuwa wanaingia na viatu msikitini, kwasababu kipindi kile mazingira ya msikiti siyo kama sasa, msikitini palikuwa ni jengo tu lenye michanga,udongo na...