Recent content by Mr. Marangu

  1. Mr. Marangu

    Kili Fm, wapeni miongozo ya Utangazaji Mmasai na Laizer

    Yani kma wanalipwa mshahara sijui Unakut Redio inawatangazaji wa5 ndio hao hao wanatangaza kwakujirudia siku nzima 😂😂😂
  2. Mr. Marangu

    Kili Fm, wapeni miongozo ya Utangazaji Mmasai na Laizer

    Mkuu nipo likizo sina lakifanya 😂😂😂
  3. Mr. Marangu

    Kili Fm, wapeni miongozo ya Utangazaji Mmasai na Laizer

    Hawa watangazaji (Laizer na Mmasai) wanahitaji kuboresha mtindo wao wa utangazaji. Wanapiga makelele ambayo yanakera baadhi ya wasikilizaji. Kwenye kipindi chao cha Kili Breakfast, Waridi anaongea kwa sauti ya staha na inayovutia, na Joshua naye yuko vizuri. Hata hivyo, hao watangazaji wawili...
  4. Mr. Marangu

    Mmasai na Laizer wa Kili Fm acheni ushamba

    Hawa watangaaji (Laizer na Mmasai) ni washamba sana, wanapiga makelele yaani wanaboa wanaumiza masikio kama wanalipwa mshahara sijui nadhani wanatangaza bure, Kwenye show yao ya Kili Breakfast Waridianaongea kwa sauti ya staha na inayovutia, Joshua nae yuko poa ila hao watangazaji wawili...
  5. Mr. Marangu

    Bei za vocha za paa

    Habari Kwa eneo nililopo bei ya jumla ya kununua vocha imepanda kutoka Tsh 960/= kwa vocha ya 1000/= kwenda Tsh 970/= kwa Vocha ya Tsh 1000/= Hivyo ukinunua Vocha Pc 10 Tsh 9700/= wanakuachia 300/= sawa na Tsh 30/= kila vocha Hali imekua ngumu kwani bei elekezi ya Kuuza Vocha ni aidha Tsh...
  6. Mr. Marangu

    Urafiki wa Azam na Simba unaua soka letu

    Ukimaliza utueleze na kuhusu urafiki wa Singida na Yanga Ukimaliza pia utueleze kuhusu ufhamini wa GSM kwenye timu za Ligi kuu
  7. Mr. Marangu

    Nimeshindwa kuvumilia, nimetembea na mke wa rafiki yangu

    Fanyia lamination hii Reply [emoji28][emoji28]
  8. Mr. Marangu

    Kizazi cha 1978-1985 hatuzeeki. Je, unajua sababu?

    Kuzeeka kuna factor nyingi hizo ulizo taja ni kama nukta baharini
  9. Mr. Marangu

    Kambi ya Jeshi Gongo la Mboto ihamishwe kijengwe kituo cha basi

    Mkitaka kujua umuhimu wa Kambi za Jeshi katika mkoa muhimu ambao ni Lango la Tanzania ... Fanyeni zihame Nafikiri kambi hazina shida, bali shida ipo kwa watu wa mipango miji hawana maono ya mbali Jeshi lilipaswa kutengewa eneo la kutosha kiasi kwamba inakua ngumu kufika kwenye ina core ya jeshi
  10. Mr. Marangu

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    Majibu yako ni Ya English Medium Huku mtaanini unapplicable
  11. Mr. Marangu

    Kufanya mauzo makubwa sio kupata faida

    Utoshe kusema mtoa post umeandika pumba tupu Nimesoma comment zote kwa kina lakini bado hujaonesha namna ya kupata faida pindi ww utakapo uza bidhaa kwa gharama kubwa huku mwenzio akiuza kwa gharama ndogo (halisia) Kuna kitu kimoja mtoa post huelewi, faida inapokua ndogo sio zambi muhimu ni...
  12. Mr. Marangu

    Kwanini Dar es Salaam siyo Pwani? Nini maana ya Pwani?

    Logic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
  13. Mr. Marangu

    Wafanyabiashara na wakulima wa Tanzania Usafi ni muhimu

    Kuna jambo moja haliko sawakwenye biashara za mazao ya kilimo, Bidhaa mbalimbali zinazotoka kwa wakulima kwenda sokoni/mlaji, zinawafikia walaji zikiwa katika hali ya uchafu kwa mfano Tangawizi unkuta ina udongo ... Udongo mpaka inapoteza mvuto, ndizi mbivu zina uchafu ulioshikamana, Maharagwe...
  14. Mr. Marangu

    Vituo vya Chapati na Mihogo ya kukaanga ndiyo uchumi mpya wa Dar es Salaam?

    Kuna watu mnaleta utani na wakulima shamba lipo unapata mihogo ndoo kwa elfu moja Acheni stori za kusimuliana
  15. Mr. Marangu

    Naombeni mbinu jinsi ya kuwa bahili, kubana bajeti

    Kiukweli sio kama najisifu lakini kuipata hela yangu ukiwa ww sio mzazi wangu uache kazi ufanye kazi Hua si hongi hovyo Na kuepuka helo natafutaga partner wakueleweka ( hii kwa ambao hatujaoa), kumhudumia mchumba nitofauti na kudeal na variety of girls Pili kwenye mavazi unatakiwa uwe na break...
Back
Top Bottom