Utoshe kusema mtoa post umeandika pumba tupu
Nimesoma comment zote kwa kina lakini bado hujaonesha namna ya kupata faida pindi ww utakapo uza bidhaa kwa gharama kubwa huku mwenzio akiuza kwa gharama ndogo (halisia)
Kuna kitu kimoja mtoa post huelewi, faida inapokua ndogo sio zambi muhimu ni...
Kuna jambo moja haliko sawakwenye biashara za mazao ya kilimo, Bidhaa mbalimbali zinazotoka kwa wakulima kwenda sokoni/mlaji, zinawafikia walaji zikiwa katika hali ya uchafu kwa mfano Tangawizi unkuta ina udongo ... Udongo mpaka inapoteza mvuto, ndizi mbivu zina uchafu ulioshikamana, Maharagwe...
Kiukweli sio kama najisifu lakini kuipata hela yangu ukiwa ww sio mzazi wangu uache kazi ufanye kazi
Hua si hongi hovyo
Na kuepuka helo natafutaga partner wakueleweka ( hii kwa ambao hatujaoa), kumhudumia mchumba nitofauti na kudeal na variety of girls
Pili kwenye mavazi unatakiwa uwe na break...
Hawa jamaa mwaka huu wapo kimya,
Kwa kawaida harakati zamsimu wao wa fiesta huanza mwezi wa saba mpaka sada tumeifikia october ambapo huwa fiesta inakua inakaribia kuhitimishwa
Bila shaka huenda biashara hiyo imeanza kuwashinda. Wasanii wamejitambua wanataka malipo makubwa.
Hivyo wameona...
Nimependa haso zako na nimependa namna unavyo jidhibiti kwenye matumizi ndio maana nimevutiwa kuona kam ulimudu kulipa liledeni make una njaa ya hela [emoji28][emoji28] na hela zinapit amikononi mwako ilakulipa deni ndio sikujua
1. Jay Mo moja ya msanii bora wa hiphop kwa 2010 kurudi nyuma, alikua mbaya sana haswa kwenye featuring moja ya feallturing kali ni baina yake na Ngwair
2. Sugu ni Legend na Godfather wa Bongflave na hiphop alichira njia lakini heshima yake wamekua wakipewa wasanii wengine kama Profesa Jay N.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.