Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,553
- 1,428
Kwa uelewa wangu, Pwani ni eneo kulikopita bahari au kwenye mwambao wa bahari. Swali langu ni hili, Dar es Salaam sio Pwani kwanini wakati bahari ipo? Mfano Kigamboni?
Amtaje haraka sanaAliekuambia dar sio pwan ni nani? We umeskia wapi?
Anataka kuwe na pwani ngapi?Logic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
Hapana usimjibieLogic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
Na Lindi uitwe mkoa wa pwani.Logic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
kwahiyo tanga, mtwara na lindi zote ziitwe pwani au?Kwa uelewa wangu, Pwani ni eneo kulikopita bahari au kwenye mwambao wa bahari. Swali langu ni hili, Dar es Salaam sio Pwani kwanini wakati bahari ipo? Mfano Kigamboni?
tanga na mtwara na zenywe ziitwe pwaniNa Lindi uitwe mkoa wa pwani.
Hatari Sana.tanga na mtwara na zenywe ziitwe pwani
Tungepata kwanza asili ya jina Dar Es Salaam kabla hatujakimbilia kuwa kwanini haukuitwa Pwani.Logic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
Kwanini unaiacha Ntwara na TangaNa Lindi uitwe mkoa wa pwani.
KabsaLogic ya muliza Swali anamaanisha kwanini Mkoa wa Dar es Saalam haukuitwa Pwani
Ukisoma vzur nmesema 'kwa uelewa wangu' hivyo nimeomba kueleweshwaMirungi inamaliza vijana
Asant sana mkuuWamekuchanganya ,tatizo ni huu mkoa unaitwa pwani ndio unachanganya watu,bora ungeitwa Rufiji au Kibaha kabisa.
Pwani ni ukanda hata maeneo mengi ya japan yapo pwani,ila yana majina kama Nagasaki ,tokyo ,osaka.
Pwani ni ukanda tu ,hata zanzibar ni pwani..Sema hapa bongo tumekosea ule mkoa kuita pwani ..Ukisoma vzur nmesema 'kwa uelewa wangu' hivyo nimeomba kueleweshwa