nipo tayari kuwa mpinzani kwa miaka mingine 50 kuliko kuwa sehemu ya genge la wahuni wanaotaka kuingia ikulu mwanangu atakuja kunilaani kwenye kaburi langu kusikia nilikuwa sehemu ya uchafu huu wa ukiwa
dah kwa hiyo cc tuliochelewa kujiandikisha itakuwaje manake tangazo lenyewe naskia lilikuwa clouds tu. me kesho naenda hukohuko leaders na nakala za vyeti wakinitosa basi
Wadau nilikuwa naomba kuuliza nimesikia mkuu wa wilaya wa ya Kinondoni ndugu Paul Makonda ameita wahitimu wa vyuo wasio na kazi kabla ya tar.15, je ni kweli na kama ni kweli ni wapi kwani wengine wanadai ni ofisini kwake wengine wanadai ni leaders naomba mnijulishe wadau pia na muda ni saa ngapi...
vyovyyote ilivyo mm ni kama nyerere naamini kwenye ushahidi wa kimazingira katika nchi hii hakuna biashara ya halali utakayofanya ukaweza kutoa mabilioni,bilioni km shukrani na ww pasco nakuamini so sometym na ww usitumie makalio kufikiria
huyu le mutuz c lile baba zima lililopigwa picha likiparty katikati ya wajukuu zake kwenye after school bash, ila co issue namuuliza tu mpango wake wa kumngoa lusinde mtera bado anao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.