Laiser Tom
Member
- Jan 12, 2014
- 36
- 20
Naam, mabadiliko makubwa ya kimfumo yanaijia Tanzania. Tuombe MUNGU yatokee na kusonga mbele kwa amani. Tukumbuke Tanzania kwanza na memngine baadaye.
UKAWA haiwezi kushinda urais katika mazingira yaliyopo.
Tume ya uchaguzi ya CCM sidhani kama itaweza kumtangaza mgombea wao kuwa ndo mshindi.
Mark my words.
Mie sina shida na mshindi yeyote yule, bali niko na shida na integrity ya viongozi wa UKAWA so far.., 6 months ago wangeweza kupata kura yangu..., ila ninachokiona sasa hivi ni kuwa jamaa ni a bunch of opportunists,hawajajipanga, na wako radhi kubugia principles zao zote ili mradi tu wapate wanachokitaka.
Bavaria, Nguruvi3
What about the integrity of the ballot? Do you care about it?
Kura za afrika ni maigizo tu..,
Nenda ukaoge, Lowasa hawezi pewa nchi, hata Kwa mtutu. Wewe subiri uone kitakachotokea. Hivi hamjifunzi Kwa Laira Odinga. Yaani wewew huwezi kuwa na uchu hivyo wa kwenda ikuli then system zikae tu zikuangalie. Note: Mimi ni CCM, ila kama lowassa angepitishwa na CCM ningemtosa ni mwizi. Ila sasa kura yangu ni Dr. Magufuli. Mbunge ukawa. Lowassa simpendi tu ni mwiziiiii
Hapa ndipo kwenye hekima juu ya swali hili wengi hawajui suala hili ndio maana wanaropoka hovyi waelevu tunawahurumia tu na siasa zao hawataamini matokeo ya mwaka huu jinsi kura zitakavyo pungua upinzani na kwa kulijua hilo ndio maana chadema wamejishikilia ukawa sababu wanajua ushindi wao wa 2010 ulitokana na nini.