Escrow: Je, Watanzania ni ignorant au tumelogwa? Tuache cherry-picking kutafuta Mbuzi wa Kafara!

Wanabodi,

Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ignorants!", vichwa maji kabisa!, vichwani ni weupe!, uwezo wa kufikiri, "logical thinking", ni sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi ya maana, "informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issue zenyewe ambazo ndicho chanzo, kilizopelekea haya yatokanayo, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!.

Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya bunge letu, tuna wabunge ma ignorants mule!, tuna viongozi wetu ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu!, tuna viongozi wa taasisi za umma ma ignorants hadi t, tuna viongozi wetu wa vyombo vya dola ni ma ignotants, na wana jf wengi pia ni ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, Pasco wa jf, tofauti na wengi maignorants wenzetu, wanajikalia kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi wengine ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu, tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa ku speak out and expressing our minds, tatizo, ni, in so doing, tunajikuta tumewaambukiza ignorance, hata wengine ambao hawakuwa ignorants!. Sorry for this.

Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Hisia za kujiuliza, kama sisi ni ma ignorants au tumelogwa, ni kufuatia kuwa na mtazamo, ya kuwa haiwezekani, watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ajabu ajabu kama haya, lakini bado tunaichagua CCM tena na tena!.

Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, wale maadui wakuu watatu bado wapo, bali ujinga umeongezeka mara dufu, umasikini sasa ni uliotopea, na maradhi hadi mengine ni janga, vimeongezeka afadhali ya zamani na enzi za mkoloni, bali pia, tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Pasco

Nasubiria uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana yenye kurasa 19 na orodha ya vielelezo 17, Katibu wa kampuni hiyo, Respicius Didace, alisema
“Tuhuma hizi ni upuuzi"

Bunge la Tanzania wamedanganywa kwa kuaminishwa tuhuma zisizokuwa za kweli ambazo zitafaidisha malengo ya kigeni na kuwafakarisha Watanzania.

Credit: mpekuzi huru
Nimesoma mahali kuhusu maamuzi ya Bunge kuhusu escrow,

Naunga mkono hoja!, kuwa ni upuuzi!. Kwenye mada hii, nimesema Bunge limefanya "cherry picking" kwa pinpointing fingers kwa waliopewa sadaka na JR tuu kupitia Mkombozi bank, jee waliopewa sadaka na PAP kupitia Stanbic Bank ni kina nani na kwa nini hawatajatwa?!. Vipi kuhusu waliopewa sadaka kubwa kubwa toka account ya VIP iliyoko Uholanzi?, ambao hawa asante zao ni kubwa kubwa na zimetumwa moja kwa moja kwenye account zao za Credit Sussie!, jee mnawajua hawa ni kina nani?, kwa nini Bunge limewaacha?!.

Mimi bado nasisitiza, escrow sio fedha za umma!, JR amefanya biashara halali ya kuuza hisa zake, na ametumia fedha hizo as he pleases kuzigawa kama sadaka ya shukrani kwa watu mbalimbali waliomsaidia kwa kadri walivyomsaidia!.

Pasco
 
Pasco Umekugusa Ninapopawaza Daily Tatzo Letu Kuu Ni IGNORANCE.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ignorants!", vichwa maji kabisa!, vichwani ni weupe!, uwezo wa kufikiri, "logical thinking", ni sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi ya maana, "informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issue zenyewe ambazo ndicho chanzo, kilizopelekea haya yatokanayo, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!.

Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya bunge letu, tuna wabunge ma ignorants mule!, tuna viongozi wetu ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu!, tuna viongozi wa taasisi za umma ma ignorants hadi t, tuna viongozi wetu wa vyombo vya dola ni ma ignotants, na wana jf wengi pia ni ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, Pasco wa jf, tofauti na wengi maignorants wenzetu, wanajikalia kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi wengine ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu, tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa ku speak out and expressing our minds, tatizo, ni, in so doing, tunajikuta tumewaambukiza ignorance, hata wengine ambao hawakuwa ignorants!. Sorry for this.

Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Hisia za kujiuliza, kama sisi ni ma ignorants au tumelogwa, ni kufuatia kuwa na mtazamo, ya kuwa haiwezekani, watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ajabu ajabu kama haya, lakini bado tunaichagua CCM tena na tena!.

Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, wale maadui wakuu watatu bado wapo, bali ujinga umeongezeka mara dufu, umasikini sasa ni uliotopea, na maradhi hadi mengine ni janga, vimeongezeka afadhali ya zamani na enzi za mkoloni, bali pia, tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Pasco

Nafanya tuu mapitio.

Pasco
 
Nimesoma mahali kuhusu maamuzi ya Bunge kuhusu escrow,

Naunga mkono hoja!, kuwa ni upuuzi!. Kwenye mada hii, nimesema Bunge limefanya "cherry picking" kwa pinpointing fingers kwa waliopewa sadaka na JR tuu kupitia Mkombozi bank, jee waliopewa sadaka na PAP kupitia Stanbic Bank ni kina nani na kwa nini hawatajatwa?!. Vipi kuhusu waliopewa sadaka kubwa kubwa toka account ya VIP iliyoko Uholanzi?, ambao hawa asante zao ni kubwa kubwa na zimetumwa moja kwa moja kwenye account zao za Credit Sussie!, jee mnawajua hawa ni kina nani?, kwa nini Bunge limewaacha?!.

Mimi bado nasisitiza, escrow sio fedha za umma!, JR amefanya biashara halali ya kuuza hisa zake, na ametumia fedha hizo as he pleases kuzigawa kama sadaka ya shukrani kwa watu mbalimbali waliomsaidia kwa kadri walivyomsaidia!.

Pasco

vyovyyote ilivyo mm ni kama nyerere naamini kwenye ushahidi wa kimazingira katika nchi hii hakuna biashara ya halali utakayofanya ukaweza kutoa mabilioni,bilioni km shukrani na ww pasco nakuamini so sometym na ww usitumie makalio kufikiria
 
Pasco watu kama Nyani ngubu ndio wapuuzi wanaoiweka nchi hapa tulipo! badala ya kujadili hoja lenyewe linaleta mataputapu ya kwao. tusonge mbele tuachane na mijitu kama hii
 
Mkuu Bongolala acha urongo kuisongizia CCM. CCM ni chama safi kinafanya siasa safi.

Pasco
Waliobeba pesa katika magunia ni wa chama gani?waliohojiwa tume ya maadili chama gani?aliyesema pesa sii za serikali, ni haki kulipwa PAP ni nani kama sii mwenyekiti ccm?jee ujinga wa watanzania hausababishwi na elimu mbovu itolewayo na serikali ya ccm?
Pasco
 
Kwa mwandishi wa habari na mtu ambaye unadai umesoma sheria UDSM, sijawahi kuona mwandishi mbovu kama wewe!

Kanuni nyepesi tu za uandishi zinakushinda. Mjinga nambari moja utakuwa ni wewe.

Unaweka alama za nukuu hata pasipotakiwa. Unarudia rudia maneno yaleyale uliyoyaandika katika lugha moja na kuyaandika katika lugha ingine.

Hivi una matatizo gani wewe?
umemgombeza.........
 
Wanabodi,
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena na kuanguka tena!".

Watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu ni ujinga, ignorance!.
Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".
Paskali
Nimelikumbuka hili bandiko, jinsi Watanzania tunavyopenda kushabikia matokea bila kujiuliza Chanzo, na haswa pale inapotokea kumepatikana mbuzi au kondoo wa kafarhaoa kuchinjwa!. Kuna wengi wanadhani Prof. Muhongo ndie mhusika wa hili la mchanga wa dhahabu, kumbe masikini wa watu, yeye ni matokeo tuu na sio chanzo!, kama Watanzania hatutabadilika kwa namna tunavyo deal na matatizo yetu kwa kujikita kwenye matokeo tuu bila kudeal na chanzo, tutaendelea kupigwa kila uchao!.

Paskali
 
Wanabodi,
Jee Escrow Ndio Issue Sana Kivile?, Au Issue ni IPTL?. Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!.
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.
Paskali
Mungu bariki, hatimaye hii ignorance sasa ndio inaanza kutotoka, maswali haya yatapata majibu!.

Paskali
 
Huu uzi JPM hajauona? Naamini huwa anapitia huku au wasaidizi wake huwa wanapita humu
 
Wanabodi,
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena na kuanguka tena!".

Watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu ni ujinga, ignorance!.


Watanzania ni Ignorants?, yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?.
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri wa wengi wetu, "logical thinking", ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama lingo'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilizopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!.

Ujinga Huu wa Watanzania, Kutojiuliza Chanzo cha Tatizo Umeanzia Wapi na Uko Wapi?.
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu, tuna wabunge ma ignorants mule hakuna mfano!, tuna viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu kuna mawaziri ni ma ignorants, uthibitisho ni jinsi mawaziri wetu wanavyotimuliwa from time to time!, tuna viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa vyombo vya dola, nao ni ma ignorants tuu, na wana jf wengi pia ni ma ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, tofauti kati yangu na baadhi ya mfano wangu, ni ma ignorants ambao tunajitambua na tunasema, wakati wengi wa ma ignorants wenzetu, hukaa kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu ya kuogopa kuongea, tunaongea wazi wazi hivyo tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa uwazi kabisa kwa ku speak out our minds and expressing our opinions.

Jee Ujinga Huu ni Mtaji?.
Yes ujinga ni mtaji!. Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kimekuwa kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura ubwete za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Kwa Nini Mtu Uwaite Watanzania Wenzako Kuwa ni Wajinga?.
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijatukana mtu, wala sijawaita watu ni wajinga, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Jee Sisi Watanzania ni Wajinga?. Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants au la!, kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa?. Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya, lakini inapofikia wakati wa kuwapima hao waliowachagua, bado wakawachagua watu wale wale, chama kile kile, na baadae kuja kufanyiwa madudu yale yale!.

Jee Hali Ilikuwa Hapo Mwanzo, Ukilinganisha na Hali Ikoje Sasa?
Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, Tanzania tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, bado tunao wale maadui wakuu watatu bali sasa, ujinga umeongezeka mara dufu!, umasikini sasa ni uliotopea!, na maradhi yamezidi hadi mengine ni janga la taifa kwa sababu hayana tiba!. Kila siku ni afadhali ya jana!. Wazee wa sasa wanasema, hali ilivyo sasa ni mbaya hadi kujiona zamani enzi za mkoloni ni afadhali kuliko sasa!. Kitu kibaya zaidi, ni sasa tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Uzuri wa Watanzania ni Upi Katika Kukumbatia Umasikini, Ujinga, Maradhi, Rushwa na Ufisadi
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.

Jee Escrow Ndio Issue Sana Kivile?, Au Issue ni IPTL?. Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!.
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".

Paskali
Viongozi wetu ni waroho wa Madaraka ili hali wakijua 'upstars they are empty' Hawataki hata mabadiliko ya kifikra
Wanauwezo wa kusababisha wabunge wetu wawe vibogoyo wakisubiri kukaushwa mate inatosha kusema tumerogwa na ailiye turoga ameshakufa Lakini nawambieni kuna siku aliye lala ataamka na akiamka 'Watalia na kusaga meno'They will not fool us all the time,This is a changed generation with tecnologies.
 
Wanabodi,
Preamble
Mtu mwenye akili na mwenye busara, anapojikwaa na kuanguka, anaangalia mahali alipojikwaa, ili kuipata sababu iliyomfanya ajikwae na kuanguka, badala ya kuangalia alipoangukia tuu, anaamka na kuendelea na safari yake, hivyo huko mbele atakuja kujikwaa tena na kuanguka tena!".

Watu wanashupalia matokeo badala ya kujiuliza chanzo!. Huu ni ujinga, ignorance!.


Watanzania ni Ignorants?, yaani Sisi Watanzania ni Wajinga?.
Mtanisamehe sana kwa kuanza huu mjadala kwa maneno makali, kuwa sisi Watanzania tulio wengi ni "ma-ignorants!", yaani wengi wetu ni watupu kabisa vichwani mwetu au ni weupe tii!, ni vichwa maji kabisa!, uwezo wa kufikiri wa wengi wetu, "logical thinking", ni mdogo au sifuri, ndio maana hatuna uwezo wa kufanya maamuzi sahihi ya maana, "to make informed decisions", hali inayopelekea, tunapelekwa pelekwa tuu kama lingo'ombe au mazuzu!, kiasi kwamba, wengi wetu tunashabikia zaidi na kushupalia vitu vidogo vidogo ambavyo ni non issues, na immaterial, ambazo sio chanzo bali ni matokeo tuu, badala ya kudeal na issues zenyewe ambazo ndicho chanzo, cha haya madhila, kilizopelekea haya yatokanayo, yatokee, vyanzo haviuliziwi, havishungulikiwi, havizungumzwi!, haviguswi!, tuna deal na matokeo tuu!.

Ujinga Huu wa Watanzania, Kutojiuliza Chanzo cha Tatizo Umeanzia Wapi na Uko Wapi?.
Hii ignorance ya Watanzania ina cut across society yetu na ku reflect ndani ya kila sekta ya jamii yetu kuanzia ndani ya familia zetu, mitaa yetu, vitongoji vyetu, vyama vyetu, hadi ndani ya Bunge letu tukufu, tuna wabunge ma ignorants mule hakuna mfano!, tuna viongozi wetu wengi tuu ni ma ignorants hadi ndani ya cabinet yetu kuna mawaziri ni ma ignorants, uthibitisho ni jinsi mawaziri wetu wanavyotimuliwa from time to time!, tuna viongozi wa taasisi za umma ambao ni ma ignorants na jambo kubwa na la ajabu, tuna hadi viongozi wetu wakuu wa vyombo vya dola, nao ni ma ignorants tuu, na wana jf wengi pia ni ma ignorants tuu, nikiwemo mimi mwana JF, mwenzenu Paskali, tofauti kati yangu na baadhi ya mfano wangu, ni ma ignorants ambao tunajitambua na tunasema, wakati wengi wa ma ignorants wenzetu, hukaa kimya, hivyo kuificha hiyo ignorance yao, lakini sisi ambao kwa bahati mbaya sana, hatukujaliwa aibu ya kuogopa kuongea, tunaongea wazi wazi hivyo tunaionyesha hiyo ignorance yetu kwa uwazi kabisa kwa ku speak out our minds and expressing our opinions.

Jee Ujinga Huu ni Mtaji?.
Yes ujinga ni mtaji!. Ni kufuatia ignorance hii, Chama cha Mapinduzi, (CCM), kimekuwa kinaitumia ignorance hii ipasavyo kwa kuifanya ndio mtaji wake wa kupatia kura ubwete za ushindi, mwaka hadi mwaka, na mwakani tutaichagua tena CCM kwa kuipa ushindi wa kishindo!.

Kwa Nini Mtu Uwaite Watanzania Wenzako Kuwa ni Wajinga?.
Naomba kuweka wazi kuwa kwenye bandiko hili, sijatukana mtu, wala sijawaita watu ni wajinga, bali nimeuliza tuu swali kuwa, Jee Sisi Watanzania ni Wajinga?. Majibu ya swali hili ndiyo yatakayosema kama sisi ni ma ignorants au la!, kama ni ma ignorants, huu ujinga wetu ni ujinga wa aina gani au tumelogwa?. Maswali haya ni kufuatia kujiuliza, haiwezekani kabisa, kwa watu wenye akili zao timamu, wakafanyiwa mambo ya ovyo ya ajabu ajabu kama haya, lakini inapofikia wakati wa kuwapima hao waliowachagua, bado wakawachagua watu wale wale, chama kile kile, na baadae kuja kufanyiwa madudu yale yale!.

Jee Hali Ilikuwa Hapo Mwanzo, Ukilinganisha na Hali Ikoje Sasa?
Wakati tulipopata uhuru toka kwa mkoloni, Tanzania tulikuwa na maadui wakuu watatu, ujinga, umasikini na maradhi, lakini hadi leo miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru, sio tuu, bado tunao wale maadui wakuu watatu bali sasa, ujinga umeongezeka mara dufu!, umasikini sasa ni uliotopea!, na maradhi yamezidi hadi mengine ni janga la taifa kwa sababu hayana tiba!. Kila siku ni afadhali ya jana!. Wazee wa sasa wanasema, hali ilivyo sasa ni mbaya hadi kujiona zamani enzi za mkoloni ni afadhali kuliko sasa!. Kitu kibaya zaidi, ni sasa tumeongeza idadi ya maadui wakuu, wakiwemo rushwa na ufisadi, ambapo mazao yake ni pamoja na DCP, Deep Green, Meremeta, TanGold, Alex Stewart, EPA, Richimond, na sasa Escrow.

Uzuri wa Watanzania ni Upi Katika Kukumbatia Umasikini, Ujinga, Maradhi, Rushwa na Ufisadi
Kitu kizuri cha ajabu kuhusu sisi Watanzania ni kujifanya kupiga kelele sana as if tunauchukia umasikini, ujinga, maradhi, rushwa na ufisadi, lakini sisi wale wale, mwaka hadi mwaka, tunawachagua watu wale wale, chama kile kile, sera zile zile, tukitegemea matokeo tofauti!, hii ni nini kama sio ignorance at the highest levels?!. Keshokutwa tunawapa serikali za mitaa!, mwezi April tuna wapitishia ile "Bora Katiba" kwa kura za ndio za kutosha, na zisipotosha "zitatosheshwa!",na October, 2015, tunamalizia kazi, kwa kuirudisha CCM kwa ushindi wa kishindo!.

Ignorance Kwenye Mjadala wa Escrow
Ignorance hii imejidhihiri wazi kwenye huu mjadala wa Escrow unao endelea sasa, ambapo wengi wetu, tumejikita kwenye issue ya fedha za Escrow tuu, ambayo sio a very big deal!, fedha ya escrow ni matokeo tuu ya hili jinamizi linaloitwa IPTL!, hakuna anayezungumzia chanzo, na hiyo pesa iliyokuwa inawekwa kwenye hiyo account ya escrow ni fedha ndogo ya capacity charges only, bado Tanesco inalipa mabilioni kwa mabilioni ya kulipia Utilities huko huko IPTL, Aggreko, Simbion, Songas!, badala ya watu kujadili chanzo, na kwa nini tumefika hapa, wao wanajadili matokeo tuu!. Hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwanini Tufanye Cherry Picking Kwenye Kutafuta Mbuzi wa Kafara?!.
Katika kuwabaini wahusika, wa hili jinamizi la Esscrow, badala ya kuwatafuta wahusika wakuu waliosababisha tufike hapa, watu wanafanya "cherry picking ya kumchagua huyu na yule, na kumuepusha yule na yule ili mradi tuu apatikane "mbuzi wa kafara!", na miongoni mwa wahusika, sijaisikia kabisa BOT ikitajwa tajwa, simply kwa sababu yeye ni dalali tuu!. Kama escrow ni account ya ubia kati ya serikali na IPTL, BOT ililipaje zile pesa kwa PAP ambaye has got nothing to do with account hiyo kabla ya kwanza kujiridhisha?!.

Jee Escrow Ndio Issue Sana Kivile?, Au Issue ni IPTL?. Mbona Mnashupalia Matokeo Badala ya Chanzo?!.
Escrow sio issue sana kivile!, escrow ni matokeo tuu, issue yenyewe haswa ni IPTL, ilikujaje, ilipitaje, ilikubalikaje kutuwekea mitambo chakavu ya mtumba, inayotumia obsolete technology?, ilikubalikaje na kupitishwaje bila ripoti ya EIA?. Sisi kama Taifa, tulikubalije kutozwa capacity charges za kiasi kile kwa mitambo ile?!, hii kama sio ignorance ni nini?!.

Kwa Nini Watu Wanataja Taja Tuu Majina?, Huu Kama Sio Ujinga ni Nini?!.
Watu wanataja taja tuu majina!, wananyooshea watu vidole!, wanawapigia kelele waliolipwa na JR tuu, waliolipwa na PAP wao wako wapi?, Walioileta IPTL wako wapi?, hii ni nini kama sio ignorance?!, au tumelogwa?!. Tunapaswa kuwatafuta responsible people tangu hili jinamizi la IPTL limekuja nchini, tuwawajibishe!, na sio kutafuta mbuzi wa kafara, au kama kawaida yetu, tufunike kombe mwanaharamu apite!".

Paskali
Bwana Mayalla: I never thought you are a genius but I rated you higher than this drivel. Unatuita wajinga kwa sababu mbili tu: kwa kuichagua CCM huku wameshindwa kuondoa naadaui wetu UJINGA MARADHI na UMASKINI tangu enzi za ukoloni. Kosa lako kubwa ni kudhani kuwa kuna Watanzania, wapiga kura, upande huu; na kuna CCM upande ule. CCM ni watanzania hawohawo; they come and go, they die, more are born, ad infinetum. CCM siyo jiwe litokalo mbinguni, ni sisi hawahawa. Tubapochagua viongozi tunaongozwa na sera zao na jinsi wanavyojinadi. Upinzani upo tangu enzi za Uhuru kulikuwa na Congress, na AMNUT, baadaye wamekuja CUF na CHADEMA na NCCR nk. Na hawa nao na sisi hawahawa; na shida zetu MARADHI UJINGA na UMASKINI ni yale yale yako palepale. Kama akili yako ibakutuma tuchague CUF au CHADENA au NCCR eti kwa sababu tu hatujawachagua ni sawa na kumwambia mgonjwa anywe sumu ili apo e maradhi ya muda mrefu. Huwaoni CUF wanataka kuvunja Muungano? Tuwaonje? Unawaona CHADEMA ni wakabila, wa sehemu? Unaona "tuwajaribu" kwa sababu tu ya ugeni? Dissappointed.
 
Back
Top Bottom