Kama Heading inavyojieleza naomba mwenye namba ya Tuwa au Dada mtu ( ambaye nilikuwa nawasiliana naye bahati mbaya nimepoteza simu yangu ). Natanguliza shukrani kwenu wakuu
Mkuu, unamaanisha tp mazembe ikiweka dau kwa mchezaji anayecheza esperence na simba akaweka dau lake , huyo mchezaji anaweza kuikacha tp mazembe ?
Ki uhalisi ajibu angepata wasaa mzuri zaidi Wa kujifunza na kukua tofauti kabisa na simba .
Yale Yale ya ngasa kugoma kwenda El merreck ya Sudan...
Kwa mfano sasa ofisi ya CAG ikawa na madudu wataifanyaje? Na hilo LA kuikagua ofisi ya CAG lipo tangu enzi hizo au limeanzishwa karibuni kwa sababu ya neno DHAIFU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.