Recent content by Mr losartan

  1. Mr losartan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila liverpool mungu anamuona[emoji23]
  2. Mr losartan

    Msaada; Namba ya kupata Vitabu vya Hussein Tuwa

    Kama Heading inavyojieleza naomba mwenye namba ya Tuwa au Dada mtu ( ambaye nilikuwa nawasiliana naye bahati mbaya nimepoteza simu yangu ). Natanguliza shukrani kwenu wakuu
  3. Mr losartan

    Simulizi:The President and I(Mimi Na Rais)

    Hiki kitabu kipo tayari??????
  4. Mr losartan

    Hadithi kali Faili namba 25

    Miguu ya Kuku anakuja wakuu dakika chache tuweni wavumilivu.
  5. Mr losartan

    Hadithi kali Faili namba 25

    Kuna muda huwatamani MTU asianzishe simulizi humu maana ni majanga tu
  6. Mr losartan

    Ninachoendelea kujifunza kwenye sakata la Ajibu

    Mkuu, unamaanisha tp mazembe ikiweka dau kwa mchezaji anayecheza esperence na simba akaweka dau lake , huyo mchezaji anaweza kuikacha tp mazembe ? Ki uhalisi ajibu angepata wasaa mzuri zaidi Wa kujifunza na kukua tofauti kabisa na simba . Yale Yale ya ngasa kugoma kwenda El merreck ya Sudan...
  7. Mr losartan

    Baharia; (Ujasusi, Mapenzi na Upelelezi wa kutisha)

    Kudo nikituma buku yako baada ya siku ngapi natumiwa riwaya
  8. Mr losartan

    Taja Series 3 Bora Ulizowahi Kutazama

    Prison break Designated survivor Shooter
  9. Mr losartan

    Taja Series 3 Bora Ulizowahi Kutazama

    Hapa ndio nimeenza Leo kuicheki hii movie nione kama yaliyomo yomo
  10. Mr losartan

    Bungeni: Spika Ndugai amsimamisha Stephen Masele uwakilishi wa Bunge la Afrika. Bunge limeteua mkaguzi kumkagua CAG

    Kwa mfano sasa ofisi ya CAG ikawa na madudu wataifanyaje? Na hilo LA kuikagua ofisi ya CAG lipo tangu enzi hizo au limeanzishwa karibuni kwa sababu ya neno DHAIFU
  11. Mr losartan

    Baharia; (Ujasusi, Mapenzi na Upelelezi wa kutisha)

    Ni tarahuki kwa kweli
  12. Mr losartan

    Shamim Mwasha, mumewe mbaroni Dar kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya

    Jina lako linatafsiri Yale unayoyaongea kwa kweli
  13. Mr losartan

    'Wasanii' wafuatao waache kuimba wakafanye kazi zingine

    Ongezea na Baba diamond
Back
Top Bottom