Recent content by Mr Ha

  1. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu anakula Pweza, Bata, Nguruwe au Ngamia?

    Mi napenda mchuzi wake na ile ya kukaanga ,ndizi 2 na kachumbari, pilipili kwa kiasi tu
  2. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania The chameleon mindset; Moja ya mkakati kabambe katika mafanikio yako kama kijana wa karne ya 21-22

    Shukrani, umeishusha nyuzi ki taalam sana. Niusindikize na bolingo gani huu uzi!!
  3. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Ndagha fijo! Ila maajabu wenyewe tunapakimbia mbeya na kuja miji hii ya raha na matapeli
  4. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    🇮🇷 Jamaa bado wako online tu
  5. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Katika vita vya pili Ujerumani had the best military technology kuliko USA wala Urusi lakini ilikuwaje wakashidwa vita?

    Uhakika tuuwekee uzi jiwe la msingi au changanya na zako
  6. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nafasi hizi za kazi zinaenda kupotea kuelekea mwaka 2030

    Hahahahaaa ukizingua kwenye suala la usalama tunakuletea zengwe fasta
  7. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nafasi hizi za kazi zinaenda kupotea kuelekea mwaka 2030

    Hamna mtaalam mi sio safety , nakukumbusha tu uwe salama 😃
  8. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Kwa Mil 6 Unapata iPhone 17 Pro Max Bila Charger wala Cover au BMW 3 Series na chenji ya Service!

    Ebwana ee yule mdada kumbe anatembea na BMW mkononi, afu tunateseka naye kwenye daladala
  9. Mr Ha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama umri unaruhusu una afya na uwezo wa kuwajibika ingia kwenye ndoa

    Ndoa ni maalum kwa wanaume! Jitafakari na usiogope
  10. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nafasi hizi za kazi zinaenda kupotea kuelekea mwaka 2030

    Sawa, Nakubaliana na wewe kuhusu output, but now days ni safety first..mining industry ina fatality issue za kutisha. Your family is waiting for you! Be safe.
  11. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nafasi hizi za kazi zinaenda kupotea kuelekea mwaka 2030

    Hizo ndio vitu vinaepushwa, kingetokea nini endapo ni mtu anaoperate direct, baada ya mda solution itakuja kama ku monitor displine ya mwamba (rock mechanics) ila Tech inakuja ondoa shaka mtaalam
  12. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nafasi hizi za kazi zinaenda kupotea kuelekea mwaka 2030

    Huko tayari kumefikiwa, system zinasomana. Fuatilia underground mining operations za kampuni kubwa ni control room Tech ili kupunguza changamoto za UG, fumes, rock collapse na confined space. Hii AI hii kila mtu atafikiwa kivyake mapema tu
  13. Mr Ha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume mwenzangu, huu ndio wakati mgumu sana. Xmas iahirishwe

    Huu ni msimu wa kuleta visa tu.. msamaha utaombwa March
  14. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Reincarnation...nazidi kupata uhakika binadamu hatufi

    Kifo ni fumbo na yote ni majibu. Ukifa unapata jibu lililo sahihi na huwezi tena kuleta mrejesho hapa jukwaani wa jibu lako
  15. Mr Ha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wenzangu msioe wanawake wa aina hii. Kumbukeni dunia haina huruma kwa mwanaume

    Huko baa kuna warembo cheza nao waache huko kama huna hela.
Back
Top Bottom