Recent content by Mr Ha

  1. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Jirani ananikonyeza na kanga moko: Nifanyeje?

    Na hilo litakuwa ndio anguko lako as a real man
  2. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Jirani ananikonyeza na kanga moko: Nifanyeje?

    Leta mwenye tako wa kwako magetoni amuone, usiumize kichwa na mke wa mtu..
  3. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Vijana, thamani yako haipimwi na kiasi cha pesa ulichonacho. Usikubali kuingizwa kingi na wanawake

    Uzi umenyooka sana mwana, japo tunapaswa tuwape ili wakidhi mambo yao pia
  4. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Una mpango wa kurudi kuwasalimia Walimu wako wa Primary na Sekondari au ndiyo basi ishapita NO shobo tena?

    Ukipata nafasi wapitishie salam, JF members tuendelee na kukumbushana kuwa na upendo
  5. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Nikikumbuka safari yangu ya Mbinga to Dodoma huwa najiona mjinga sana

    Hakika trip yako ilijawa na tabasam na matumizi
  6. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Mkopo wa Iraq wa dola millioni 191 kwa Tanzania wazua mjadala mkubwa nchini Iraq

    Mhh kuna fuse zimeungua hii nchi
  7. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Mapenzi suala linaloninyima usingizi

    Huo ni mtego tu, chambua mapenzi weka pembeni na usingizi chukua.... Usiwaache ila wapunguzie mda wako na uta enjoy
  8. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Ibilisi ametia nanga Velvet club Sinza

    Oya we dasalamu huondoki, utakuwa unahama tu viwanja 😅
  9. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Madereva wote tarehe 01/07/2026. Wana madai ya Msingi

    Nguvu ya daraja E
  10. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Hivi inakuwaje mtu anakula Pweza, Bata, Nguruwe au Ngamia?

    Mi napenda mchuzi wake na ile ya kukaanga ,ndizi 2 na kachumbari, pilipili kwa kiasi tu
  11. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania The chameleon mindset; Moja ya mkakati kabambe katika mafanikio yako kama kijana wa karne ya 21-22

    Shukrani, umeishusha nyuzi ki taalam sana. Niusindikize na bolingo gani huu uzi!!
  12. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Tuwe wakweli: Kwa Tanzania, ni vigumu kupata mkoa uliobarikiwa kama Mbeya

    Ndagha fijo! Ila maajabu wenyewe tunapakimbia mbeya na kuja miji hii ya raha na matapeli
  13. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Telaviv wapewa masaa 24 ya kuhama

    🇮🇷 Jamaa bado wako online tu
  14. Mr Ha

    JamiiForums Tanzania Katika vita vya pili Ujerumani had the best military technology kuliko USA wala Urusi lakini ilikuwaje wakashidwa vita?

    Uhakika tuuwekee uzi jiwe la msingi au changanya na zako
Back
Top Bottom