Sawa, Nakubaliana na wewe kuhusu output, but now days ni safety first..mining industry ina fatality issue za kutisha. Your family is waiting for you! Be safe.
Hizo ndio vitu vinaepushwa, kingetokea nini endapo ni mtu anaoperate direct, baada ya mda solution itakuja kama ku monitor displine ya mwamba (rock mechanics) ila Tech inakuja ondoa shaka mtaalam
Huko tayari kumefikiwa, system zinasomana.
Fuatilia underground mining operations za kampuni kubwa ni control room Tech ili kupunguza changamoto za UG, fumes, rock collapse na confined space.
Hii AI hii kila mtu atafikiwa kivyake mapema tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.