Recent content by Mr fekon haonga

  1. Mr fekon haonga

    Wasomi kurudia VETA ni wazo zuri ila lipo kisiasa zaidi, nia ya dhati haionekani

    Haya Mambo sidhani kama wahusika wanayaona na kuyaelewa vzr.sasa mashuleni masomo ya sayansi imekuwa options zaidi mwanafunzi asome history ya Tanzania na maadili, history, English na kiswahili. Atakaye Fanya innovations hizi kwenye hivi viwanda atatoka wapi?
  2. Mr fekon haonga

    Nani anaijua biashara ya vifaa vya simu kwa kina?

    Ufafanuzi kidgo mkuu! Mimi ni fundi pia na nataka nifanye hii kitu
  3. Mr fekon haonga

    Mentality ya kuwa na Plan B

    Shikiria kimoja kwanza maliza kisha nenda kaangalie mafanikio yake
  4. Mr fekon haonga

    Hakuna Biashara Mpya, Angalia loopholes za wengine Kisha Angalia Mfuko (mtaji) wako

    Daaa shukurani sana Mkuu nimekuwa nikifel sana hapo nafocus sana kwenye masilahi
  5. Mr fekon haonga

    Je ni namna gani unaweza kuweka kumbukumbu na hesabu za biashara ndogo ili kujua mianya ya faida na hasara?

    Shukurani sana Mkuu,kuna kitu cha ziada napenda kusikia.mfano kuna mwenzetu pale kasema kuna app ipo pia
  6. Mr fekon haonga

    Je ni namna gani unaweza kuweka kumbukumbu na hesabu za biashara ndogo ili kujua mianya ya faida na hasara?

    Samahani sana wakuuu mimi ni graduate ambaye nimekutana na changamoto hii na najua wapo wengine ambao wanaendelea kukutana na hichi kitu. Mimi ninakakibanda kangu ka uwakala wa mitandao ya simu, m-pesa nk. Sasa nilikuwa naomba sana msaada wa jinsi Gani naweza kuwa na weka rekodi zangu vizuri na...
  7. Mr fekon haonga

    Nauza kibanda cha tigo Pesa..pamoja na laini za uwakala

    Hivi hawa ndo wanakuwaje na wanazuiwaje?
  8. Mr fekon haonga

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kampuni gani mkuu Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  9. Mr fekon haonga

    Nimekuwa muoga kuomba namba kwa wasichana

    Jiamini tu ni rahisi sans
Back
Top Bottom