Mr fekon haonga
Member
- Nov 5, 2018
- 28
- 20
Samahani sana wakuuu mimi ni graduate ambaye nimekutana na changamoto hii na najua wapo wengine ambao wanaendelea kukutana na hichi kitu.
Mimi ninakakibanda kangu ka uwakala wa mitandao ya simu, m-pesa nk. Sasa nilikuwa naomba sana msaada wa jinsi Gani naweza kuwa na weka rekodi zangu vizuri na kumbukumbu ili iwe rahisi kujua hasara zinapoingia na faida maana naona biashara yangu haikui kama ninavyo taka.
Naomba msaada!
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
Mimi ninakakibanda kangu ka uwakala wa mitandao ya simu, m-pesa nk. Sasa nilikuwa naomba sana msaada wa jinsi Gani naweza kuwa na weka rekodi zangu vizuri na kumbukumbu ili iwe rahisi kujua hasara zinapoingia na faida maana naona biashara yangu haikui kama ninavyo taka.
Naomba msaada!
Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app