Kua yangu ni uhakika yangu ila kinachonipa hofu ni calculation za madaktari na ukweli tunaoujua sisi na je ikitokea siku zikapitiliza hadi week ya 43 na wao walitwambia mwisho ni week ya 42 watamfanyia upasuaji ikipita sababu ndo hua hatari ikizidi hapo
Mpka naongea na ww yuko hospitali ila cha ajabu madaktari wamepima ultra sound wanasema ndo week ya 41 inaishia ila kwa hesabu zangu naona imefika week ya 42 ndo inaishia
Nina mwanamke wangu mara ya mwisho kuingia hedhi ilikua tarehe 20 august 2024 na tulisex tarehe 31 august na tarehe 1 september ila tarehe za kujifungua naona zmepitiliza zile siku 280 lakini mpka leo tarehe 8 june 2025 bado anayomimba au mm calculation zangu sijapiga vzur naona tarehe...
Wakuu nataka kuuliza hii taasisi ya Tanzania food and nutritio centre inalipa vzur kwa mfanyakazi aneanza kazi hapo?
Maana mdogo wangu amechaguliwa kama laboratory scientist kwa level ya degree.
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.
Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.
Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani...
Kuna binti mmoja ni mchaga alinipenda sana na alikua anawivu hatari imargine mm sio mtu wakupenda video calls lakin yy atapiga kila mda na hapo usipopokea ni lawama kila siku. Kuna mda anatuma mesej nyingi m najibu kwa meseji moja hapo inakua kesi na napigwa block juu ila uzuri nilikua simtafuti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.