Mr Fan
Member
- Sep 21, 2019
- 68
- 122
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.
Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.
Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.
Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.