Natafuta msaada wa wazo la biashara

Mr Fan

Member
Sep 21, 2019
68
122
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.

Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.

Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
 
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.

Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.

Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
Umehitimu degree ya Nini?
Fanya unachokipenda
 
Samahani wakuu mimi ni kijana na umri wangu ni miaka 27 muhitimu wa degree.

Nilikua nafanya kazi kwenye kampuni japo kwa muda huu imesimama, nilifanya saving zangu nikafikisha miliioni 4.5.

Nimekuja kwenu nikiomba wazo la biashara yyte ambayo naweza kufanya kwa hio hela na mkoa gani.... ntasoma maoni yenu.
Hakikisha biashara unayo enda kufanya unaielewa, ukiweza tafuta boda, mpe mtu uwe na uwakika wa kula kuanza biashara ni changamoto sana, mambo ni magumu kwenye biashara au tafuta mtu unaye mjua kuza mtaji muanze kula faida.
 
Back
Top Bottom