Recent content by Mr Eggo

  1. Mr Eggo

    Nimezaa nje ya ndoa nifanyeje nimweleze wife?

    Sasa apo mke wako anahusikaje!?...Man up bana acha umama
  2. Mr Eggo

    Nimsaidiaje mke wa mtu anayenyanyaswa na mume wake?

    swali zuri sana, Hii tabia yakuwaonea huruma wanawake bila kujali nafasi yako na matokea hasi ni ujinga uliopitliza
  3. Mr Eggo

    Ungefanya nini ukijua unakufa kesho ?

    I would have talk to my kids niwahusie juu yakufanya ibada,kua watu wema nakuhakikisha wakati ukifika wanaoa wanawake wacha Mungu ambao pia wamelelewa katika familia zenye maadili na kujenga familia nzuri yenye amani upendo etc
  4. Mr Eggo

    Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

    Haujui unachoongea,You never forgive a cheating woman.you guys ndo ambao mna compromise manhood mnaingiza uanamke kwenye uanaume.
  5. Mr Eggo

    Naomba ushauri kuhusu changamoto hii ya mke wangu

    "Usipomuacha uyo mwanamke utakua umejichimbia kaburi". Huwezi kumuamini tena,she did it once she can do it again. Apo kubalianeni mlee watoto tafta mwanamke oa
  6. Mr Eggo

    Mwanamke mwenye miaka 36 anataka nimuoe lakini mimi uchumi wangu aupo sawa, je nitaishi naye kwa amani kwenye ndoa?

    Kua nae kwenye mahusiano usikubali kumuoa at this point,jitafute kwanza
  7. Mr Eggo

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    NO REFORM,NO ELECTION
  8. Mr Eggo

    Ukitaka kuchanganyikiwa basi kaangalie mahojiano ya jana ya John Mrema na Ciza Clouds tv

    Nimeishia kukwazika ata sijamaliza kuskiliza
  9. Mr Eggo

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    huu mwandiko wa mke wako kabisa🤣,stuka. Achana na uyo mwanamke bado mapema atakuja kukudhalilisha zaidi uko mbele.Just let her be
  10. Mr Eggo

    7 natural laws of business

    This is a masterpiece advice.Ubarikiwe mkuu umenipa strategy muhimu sana zakuanzia mwaka 2025.
  11. Mr Eggo

    Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

    Nyie ndo ambao mnafanya takwimu za talaka ziongezeke,huwezi kuolewa ukawa huru.Kua single mother acha kusumbua watu
  12. Mr Eggo

    Karma Haipo, Karma ni dhana ya kimaskini kuwafariji maskini

    I totally agree with you,ni dhana ya maskini kujifariji,kama karma ingekua kweli basi wazungu walivyotutesa wangekua na hali mbaya sana. They are still F***ck us na amna kitu tunawafanya wala iyo karma
Back
Top Bottom