I would have talk to my kids niwahusie juu yakufanya ibada,kua watu wema nakuhakikisha wakati ukifika wanaoa wanawake wacha Mungu ambao pia wamelelewa katika familia zenye maadili na kujenga familia nzuri yenye amani upendo etc
"Usipomuacha uyo mwanamke utakua umejichimbia kaburi".
Huwezi kumuamini tena,she did it once she can do it again.
Apo kubalianeni mlee watoto tafta mwanamke oa
I totally agree with you,ni dhana ya maskini kujifariji,kama karma ingekua kweli basi wazungu walivyotutesa wangekua na hali mbaya sana.
They are still F***ck us na amna kitu tunawafanya wala iyo karma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.