Recent content by mr bitahika

  1. M

    Mwanamke anataka kutumia pesa zangu, ila yeye nikitaka kuonana naye analeta viswahili vyake

    Moja kwa moja Ipo hivi Kuna mwanamke fulani niliuomba mzigo nikapatana nae kiasi fulani cha hela. Sasa tukapatana sehemu ya kukutania nikampigia cm eti ananitumia meseji kuwa aje kuchukua hela halafu mzigo nile kesho. Nilichomuambia nikwamba mimi huwa hela yangu hailiwi kipumbavu mimi niko...
  2. M

    Tetesi: Ahmed Arajiga amekataa kuchezesha Derby ya June 15

    Watajua hawajui mpaka kieleweke.hatuchezi ng'o!! Refa wa matokeo kwa ndunduka fc atafaa ila usafi kwanza pale tff na tplb ufanyike
  3. M

    Tetesi: Ahmed Arajiga amekataa kuchezesha Derby ya June 15

    Watajua hawajui mpaka kieleweke.hatuchezi ng'o!
  4. M

    Mwamba huyu hapa

    Hamna kitu hapo.pesa bila mapenzi haina maana yoyote
  5. M

    Mbunge, Nicodemas Maganga: Akionekana mtu anajenga ghorofa achunguzwe

    Hatutaki kurudishwa kwa baba wa taifa.zama mpya hizi
  6. M

    Ukweli kuhusu mume na mke kwenye ndoa

    Hapana lengo la ndoa nikuendeleza kizazi 2 mengine ni tamaa2
  7. M

    DC Albert Msando: Gwajima ajitokeze alipojificha aelezee umma kilichotokea

    Ya ngoswe mwachie ngoswe nipo hapo nafuatilia
Back
Top Bottom