Watu wakiomba mnaongea,wakienda kunywa gongo napo mnaongea,
Mtaacha lini kuongea?
Acha jina la mungu loitwe kila kona maana zinaa na dhambi mlifanya kila mahala pia
..
Mkuu Mshana Jr unaniangusha sana kwenye kuandika mada isiyokuwa na mashiko kama hii...
Hivi unadhan ni rahisi kiasi hicho?
Hili jambo ni gumu sana na wala haliihitaj mjadara kwa sasa..
Nchi iko kwenye khar nzur tu wala hakuna viashilia hatar vya kusema watu wajifungie ndani
Nadhan Taifa lolote linahitaji watu kama hawa wanaoweza kusema na kuwaambia ukwel pale viongozi wa juu wanapofanya makosa, bila hiana wala uoga.
Huyu jamaa ukimwangalia alichokizungumza ni facts,
Plz watch out!
Sema ukwel pia baadh ya immigration officer huwa wanaboa sana hasa wanapokuona ngoz nyeus au unatokea nchi fulan maskin..
Tunaosafir safiri tunaelewa haya mambo,
ukikutwa una hasira za karibu unaweza hata ukaachia haja ndogo ofisi zao..
mi mkopo wao namaliza kuwalipa mwez ujao,yan nashaur sana kwa nyie vijana mnakimbilia mikopo
kuliko upewe mkopo na hii bodi bora usisome kabisa..maana mwisho wa siku unajikuta unawatumikia wao...
Mimi kila mwez wana ni bwenga lak tano...its pain a lot
.
They get double profit
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.