Mafanikio hayaji siku moja,,kwenye soka inahitaji uwekeze pesa then uwe mvumilivu ,so kwa kesi ya simba swala la kuacha wachezaji ni sahihi kwao maana wengi wao wameshatumika zaid ya misimu mitatu na consistency yao imeshuka mfn mugalu,kagere,bocco,wawa,thadeo,gadiel hawa wote wanastahili...