0714036595
0714036595



️

#malisafi
Whatsapp & Normal Calls.
Dar es SalaamVp boss ile xiomi naweza kuipata?Uko wapi
IpoVp boss ile xiomi naweza kuipata?
IpoVp boss ile xiomi naweza kuipata?




Kuna mtu alinunua pale k,koo 150k hiyo Oppo,KITONGA PRO MAX
Oppo A57
Ram 4Gb
Storage Gb64
Bei 120,000/=
Warranty miezi 12🫡
0628139218
Dar es salaamView attachment 2451878






hataki hata kusikia cm za promotion from dubengaa. UwiiiihUnapokuja kariakoo kununua ivi vitu vya electronics weka ujuaji pembeni njoo na mwenyeji. Otherwise utaishiwa kupigwa za uso tuKuna mtu alinunua pale k,koo 150k hiyo Oppo,
Alichokutana nacho,hataki hata kusikia cm za promotion from dubengaa. Uwiiiih
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapokuja kariakoo kununua ivi vitu vya electronics weka ujuaji pembeni njoo na mwenyeji. Otherwise utaishiwa kupigwa za uso tu




afu ni mdada mwalimu wa sec, mie nlimuambia wee kuwa makini mjini hapaa, yeye akasema ameona matangazo insta, na kawasiliana na wahusika wamemuhakikishia, kheeeh c nkampelekaa bhanaa, tukafka palee akalipa akachukua sema mie sikua na hakika km ile cm n nzuri na nlijua sio OG lazima n refurb, 


kwa kifupi alikua anatumia km torch tyuuh. Hataki hata kusikia hizo promotion za cm. Haha nimecheka kiboyaafu ni mdada mwalimu wa sec, mie nlimuambia wee kuwa makini mjini hapaa, yeye akasema ameona matangazo insta, na kawasiliana na wahusika wamemuhakikishia, kheeeh c nkampelekaa bhanaa, tukafka palee akalipa akachukua sema mie sikua na hakika km ile cm n nzuri na nlijua sio OG lazima n refurb,
Bhana wee kufika Home, kuichaji masaa 8, kuja kuiweka line haisomi, settings ya lugha n kiarabu,kumfuata ostadh ndo akatoa kiarabu kuweka english, yaan cm ipo km kopooo tyuuh.
Line hazisomi,kwa kifupi alikua anatumia km torch tyuuh. Hataki hata kusikia hizo promotion za cm.
Sent using Jamii Forums mobile app


China Plaza.
Nokia asha inapatikana wap mkuu maana najua hy itakuw umeshaiuzaHuawei y 330 laki 1
au Nokia asha 550 kwa 80,000/=
Nokia asha inapatikana wap mkuu maana najua hy itakuw umeshaiuzaHuawei y 330 laki 1
au Nokia asha 550 kwa 80,000/=