Recent content by Mr Anold

  1. Mr Anold

    Msaada wa namna ya ku unlock iPhone

    Niko Moshi Mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mr Anold

    Msaada wa namna ya ku unlock iPhone

    Acha noma Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mr Anold

    Msaada wa namna ya ku unlock iPhone

    Ndugu wataalam nina iPhone, iliyotumika Marekani, hapa Tz nimeshindwa kuitumia kwa network zetu. Ninapoweka line ina dai activation na mwisho inaishia na Sim Card not valid. icloud na Apple ID ninzo ila tu kuiweka kwenye network ndo nimeshindwa. Naomba kwa yoyote mwenye ujuzi anione inbox...
  4. Mr Anold

    Walimu hawathaminiwi hapa Tanzania?

    SCIENCE AND MATHEMATICS Hili ni swali nililojiuliza mara nyingi sana, nimeitathimini kazi ya uwalimu hasa sule za sekondary hapa nchini na mazingira ya ufundishaji kwa ujumla wake. Hayo tuyaache kwanza. Hoja yangu ya msingi ni hii. Hivi karibuni ulitoka waraka wa kuwapandisha mshahara ngazi...
  5. Mr Anold

    Hivi wanaosoma feza boys ni ma-genius au?

    Kufaulu au uwezo wa mwanafunzi unategemeana na uwezo wa kurithi na mazingira anayosomea yaani (anaosoma nao, wanaomfundisha, na anakosomea) Kwa uzoefu nilioupata wa kufundisha shule ya kata 11years sasa ni wazi kwamba mazingira yamekua kikwazo kikubwa cha wanafunzi kufauli kwa kadiri ya uwezo...
  6. Mr Anold

    Rais Magufuli: Mwijage unanikwaza kwa kushindwa kufuta viwanda visivyoendelezwa

    Politics is just fiction. Speaking and insisting on exactly what people want to hear but do what you want yourself Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mr Anold

    Utaratibu gani na nani wanahusika kwenye usajili wa mobile applucations?

    Yes anamaanusha playstore Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mr Anold

    Rais mpe Tundu Lissu nafasi kwenye mazungumzo na Acacia

    Kama mikataba imeruhusu kufanya waliyoyafanya na kama hawajakiuka masharti waliyokubaliana na hawajavunja sheria. Hata Lisu hatoweza kushindana na ukweli. Awaachie CCM hiyo ni dude lao
  9. Mr Anold

    Rais mpe Tundu Lissu nafasi kwenye mazungumzo na Acacia

    Team TZ itakayoikabili hiyo team ya BARRIC/ Accacia ni 1. Mkapa 2. Kikwete 3. Chenge 4. Mwaikembe 5. Masaju 6. Prof Lipumba 7. Prof Mhongo 8....... 9....... 10....... 11....... 12...... Nawaza tutakavyochakaza Wathunguu
  10. Mr Anold

    Maamuzi ya Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge kuhusu Halima Mdee na Esther Bulaya

    Wangekua na vichwa kama kina Malema Julius si wangeingia na Bunduki kabisa?
  11. Mr Anold

    Tundu Lissu(CHADEMA), iga mfano wa mbunge Elibariki Kingu (CCM)

    Ila siasa za Tz kwa sasa imeingiliwa na vilaza jamani. Khaa
  12. Mr Anold

    Mwalimu akamatwa na viroba vya shilingi milioni 77

    Kama biashara ilikua halali, na mlikua mbakula kodi alafu mkaisitisha ghafla bila hata kutoa muda maalum kwa wenye stock kuuza mzigo uishe, sasa mnatuletea habari za kibashite eti tumekamata mzigo wa milioni 77. Si mmeenda kwa wale wasambazaji mliowapa vibali vya kuuza na mlijua wana stock bado...
  13. Mr Anold

    Makonda ana maana ipi katika hii clip?

    Anamaanisha kuwa kuna paka wa Tz utawla, atapewa thamani kuliko binadamu wa Tz Mtawaliwa.
Back
Top Bottom