Rais mpe Tundu Lissu nafasi kwenye mazungumzo na Acacia

Yuko na management ya accacia kwa hiyo unataka aingie awe anawapa siri za tume accacia? Elimu Ya sheria anayo ila uzalendo ni ziro. Huwezi weka mtu asiye na uzalendo kwa nchi yake hata kama anajua Sheria zote za madini duniani
nacheka kwa dharau!!!yani Leo nyie ndio wazalendo??mtu aliyepambana na haya mambo tangu 1994.alaf Leo nyie majuha ndio mnajiita wazalendo???kweli twaweza hawakukosea wanaoishabikia ccm ni kuanzia std 7 kushuka ...........!!!!!
 
SIO WA KUMWAMINI HUYU JAMAA NI KINYONGA, MNAEZA FIKA KWENYE MEZA YA MAKUBALIANO AKABADILISHA URAIA AKAWA MZUNGU ,JOKING. HELL NO HAFAI HATA KUWA KWENYE KAMATI YA MACHINGA
 
Mkuu kwa heshima zote nakuomba raisi wangu..Tundu Lisu naomba aongezwe kwenye listi.nimeaona umuhimu wake katika hii timu ambayo imebeba matumaini ya watz.kuna manufaa kadhaa kwa huyu mtu kuwepo kwenye haya mazungumzo..

1. Tundu lissu alikuwa anasema kuna mapungufu mengi kwenye kufuatilia hii isue labda apewe nafasi ili aonyeshe njia sahihi..

2. Mjuzi wa sheria..nimeona watu ambao tunaenda kufanya nao mazungumzo wanaowakilisha Barick ni hatar sana.Tundu lissu anaijua sheria na anauzoefu wa kesi nyingi saana..anajua wapi tumekosea na njia ya kukwepa kosa hilo.

3. Umoja wa kitaifa pasi na ugonjwa wa uchama..Tatzo linaloitafuna tifa ni uchama na ushabiki..naomba raisi wangu onyesha utofauti.maslahi ya taifa kwanza uchama baadae

Najua kuna mengi sana wenye mawazo makubwa zaid kuhusu hili.karibu

Be intelligent....Tatizo linalolitafuna taifa hili siyo ushabiki wa kichama kama unavyosema. Tatizo unalijua sana. Kwa sababu hujielewi na huna audacity ya kusema ukweli, umeishia kucheza na porojo na unafiki. Je ni kweli unajifanya huwafahamu akina nani walipitisha sheria mbovu ya madini au wale waliosaini Mikataba ya madini mibovu? Ni kweli huwafahamu?????? Kama huwafahamu, wewe ndiye tatizo.
 
Yuko na management ya accacia kwa hiyo unataka aingie awe anawapa siri za tume accacia? Elimu Ya sheria anayo ila uzalendo ni ziro. Huwezi weka mtu asiye na uzalendo kwa nchi yake hata kama anajua Sheria zote za madini duniani

Vipi Mwenyekiti wa bunge ?joka la makengeza
 
Mkuu kwa heshima zote nakuomba raisi wangu..Tundu Lisu naomba aongezwe kwenye listi.nimeaona umuhimu wake katika hii timu ambayo imebeba matumaini ya watz.kuna manufaa kadhaa kwa huyu mtu kuwepo kwenye haya mazungumzo..

1. Tundu lissu alikuwa anasema kuna mapungufu mengi kwenye kufuatilia hii isue labda apewe nafasi ili aonyeshe njia sahihi..

2. Mjuzi wa sheria..nimeona watu ambao tunaenda kufanya nao mazungumzo wanaowakilisha Barick ni hatar sana.Tundu lissu anaijua sheria na anauzoefu wa kesi nyingi saana..anajua wapi tumekosea na njia ya kukwepa kosa hilo.

3. Umoja wa kitaifa pasi na ugonjwa wa uchama..Tatzo linaloitafuna tifa ni uchama na ushabiki..naomba raisi wangu onyesha utofauti.maslahi ya taifa kwanza uchama baadae

Najua kuna mengi sana wenye mawazo makubwa zaid kuhusu hili.karibu
Huyu tayari yuko kwenye jopo la Acacia. Hawezi kutumikia mabwana wawili
 
Mkuu kwa heshima zote nakuomba raisi wangu..Tundu Lisu naomba aongezwe kwenye listi.nimeaona umuhimu wake katika hii timu ambayo imebeba matumaini ya watz.kuna manufaa kadhaa kwa huyu mtu kuwepo kwenye haya mazungumzo..

1. Tundu lissu alikuwa anasema kuna mapungufu mengi kwenye kufuatilia hii isue labda apewe nafasi ili aonyeshe njia sahihi..

2. Mjuzi wa sheria..nimeona watu ambao tunaenda kufanya nao mazungumzo wanaowakilisha Barick ni hatar sana.Tundu lissu anaijua sheria na anauzoefu wa kesi nyingi saana..anajua wapi tumekosea na njia ya kukwepa kosa hilo.

3. Umoja wa kitaifa pasi na ugonjwa wa uchama..Tatzo linaloitafuna tifa ni uchama na ushabiki..naomba raisi wangu onyesha utofauti.maslahi ya taifa kwanza uchama baadae

Najua kuna mengi sana wenye mawazo makubwa zaid kuhusu hili.karibu


Hakuna mtu au kiongozi anayeweza kumuweka huyo uliyemtaja kwenye jopo la kamati ya nchi (Tanzania) kwenye mazungumzo na upande mwingine...kwa tabia yake anaweza akawageuka wenzake kwenye mazungumzo hayo...halafu sidhani kama ana umahiri mkubwa katika masuala ya kisheria....alicho nacho ni kutumia nafasi yake ya kisiasa na kuingiza siasa kwenye masuala ya kisheria....
 
HIV jamani mie nakuliza he wan JF huwa tynaaikilizwa au tuna piga kelele tu wakubwa wanasoma hiii kurasa yetu
 
Kabudi pekeyake hatoshi coz hao wazungu ni watu kama sisi tafauti rangi tu tunahitaji tume ya kuwatumia wanasheria wachokonozi wa mambo kama kina Lissu, Babu Shivvji ,kitila mkumbo jamani ushabiki haufai katika hili mim nalia na GGM zahabu yetu inaondoka alafu mishare ya saa inaenda kwa kasi sana duh.
 
Team TZ itakayoikabili hiyo team ya BARRIC/ Accacia ni
1. Mkapa
2. Kikwete
3. Chenge
4. Mwaikembe
5. Masaju
6. Prof Lipumba
7. Prof Mhongo
8.......
9.......
10.......
11.......
12......

Nawaza tutakavyochakaza Wathunguu
 
Kama mikataba imeruhusu kufanya waliyoyafanya na kama hawajakiuka masharti waliyokubaliana na hawajavunja sheria.

Hata Lisu hatoweza kushindana na ukweli. Awaachie CCM hiyo ni dude lao
 
2ndu Lsu kwenye negotiations co ideal person sababu kesha onyesha uoga ila atafaa katka kpengele cha kuandaa mikataba mipya, tunahitaji watu wenye negotiations skills, mfano kuna mtu mmoja cjui kama bado yupo Udsm au lah anaitwa Mbirigenda.Huyu jamaa cna uhakika kama atakubali au kuruhucwa deal na mambo ya politics.Tunahitaji watu wa aina yake
 
Back
Top Bottom