Recent content by mr aly

  1. mr aly

    Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

    Kesho taweka vpmo pamoja na lamani ya nyumba au jengo lenyewe
  2. mr aly

    Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

    Ukubwa urf ft 32 upn ft 24
  3. mr aly

    Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa Mwezi Julai 2016 umepungua hadi Asilimia 5.1

    Hapa kuchaji battery ya gari ilikua 1000 now 2000 imepanda au imepungua
  4. mr aly

    Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa Mwezi Julai 2016 umepungua hadi Asilimia 5.1

    Hao samaki wanaosema ni samaki gn hao wawe wanatumia akili sio kuburuzwa tu kama ling'ombe mbona sato kilo 9000 badala ya 7500 ya awali mfumuko wa bei haujashuka bali umepanda
  5. mr aly

    Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

    Mm nmejenga nyumba vyumba 3kimoja master sitting room choo cha ndani jiko stoo na korido ktk kuelekea sebureni bati nmetumia milion moja kench laki sita misumari waya pamoja na kepu laki mbili ufundi laki nne
  6. mr aly

    Mdogo mdogo tu

    Wanakula nn
  7. mr aly

    Lazima Lowassa ashitakiwe kwa Ufisadi!!

    Nchi niyetu sote, hakuna haja yakunyosheana kidore, nakama niufisadi nani asiyefisad,tujege nchi upya kwa kufuta sheria siyo kwa kuagaria yario pita,ferix kayungiro
  8. mr aly

    Bunda: Madiwani wa CCM wagomea Madawati yaliyotolewa na Mbunge wa CHADEMA Mh. Bulaya

    Kwani shda ni nini jina waache upumbavu waachie watoto wakalie madawati yao kweli viongozi wengi wa ccm sio walewa
  9. mr aly

    JamboLeo: Watanzania wakosa imani na 'Rais'

    Kweli kabsa hatuna imani na rais
  10. mr aly

    Startimes yatoa ufafanuzi kuhusu kuonekana chaneli za nyumbani

    Kweli kabasa mm nwenyewe Chanel kwangu zmekata ipo tbcccm tu
  11. mr aly

    Machache niliyojifunza kwenye kesi ya Tundu Lissu

    Wamepoteza hela za bure kabsa kumtoa singida to dar es salam kwa gharama Kubwa alafu mnashindwa hii ni aibu siku nyingine wajifunze na wamwambie anaitjika dar na hao mawakili mtukufu atadili nao mbona michezo yao mtukufu anaijua na nakumbuka alishawaambia wanakula hela huku na huko ili selikari...
  12. mr aly

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Hali ya maisha imekua niya shida sana ukipata leo hujui kesho utaamkaje kuifipi hali ipo hvyo kuna kitu kimepelekea kukundikia ujumbe huu naona mtiririko wa kodi umekua mwingi ni jana tu nmesikia ya kwamba unamkakati wa kuwabana wenye nyumba na wao walipe kodi ni kweli unaitaji hela ili...
  13. mr aly

    Salum Mwalimu: CHADEMA tupo imara na Maandamano na Mikutano iko pale pale

    Vzr sana kamanda Salum mwalimu tupo pamoja kuuzuia ukuta ktk taifa letu
  14. mr aly

    Kwa staili hii 'hapa kazi tu' inapoteza ladha

    Walio karbu nae wanaogopa kumshauli kwa kuogopea kutumbuliwa tuliambiwa kwenye kampeni huyu ni brudoza a k a katapira
  15. mr aly

    Lissu anamaanisha nini kuhusu "udikteta"

    Kwan ukikaa nyumbani haufi nyie ndio walewale ambao hamjitambui kama unaona jambo halikuhusu piga kimya uctangaze propaganda za uongo
Back
Top Bottom