KISANGA (Hisia za Mrithi)
Mtunzi Akida Siri Rambao
Sehemu 4F
Ilipoishia....
.... wa Nkole yupi, Nkole kwani anamtoto?!” Fiyona alisema sasa akisimama katoa macho huku akizivuta kumbukumbu taratibu, Mbonde akimshanga tu “…ina...Ohh! yule ni mtoto wa Nkole!?” “Unashangaza sana wewe, naz...