Recent content by Mpwimbe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Heshimu KURA za WANANCHI kwanza. Kama mnashindwa kujibu HOJA za kina CHAULA, DEUSI SOKA, KIPANYA, SATIVA, Mnawaua. Mnasingizia mpaka vibinti VIDOGO UGAIDI na UHAINI, huo uwezo hata kushindana na MAHINYILA haupo.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hakuna mwenye hati ya kusema hii nchi ni yangu nitafanya ninavyotaka

    Huyu bibi ni bure kabisa
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ajabu na kweli: Padri wa Kanisa Katoliki kaoa mke na anavuta sigara kali!

    Wamezuiliwqje? Kwani wanalazimishwa kiwa Padre? Au.m wanakatazwa kuacha? Kwanini wanataka yote? Ukishakuwa Padre ujue huna familia, hata kwenu hutazikwa.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hiyo ni nyumba ya peasant TZ. Siyo Mabati house hiyo. Huyo anakulisha wewe na ukoo wako.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ni Tour Guide
  6. M

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    Hilo la kujipanga na gharama, sasa si bora ununue used kutoka Japan, directly ujiepushe na hii kamari uchwara.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Punguza presha ya kununua gari jipya, Unaweza kununua gari mtaani, ukalifanyia matengenezo ya kiwango cha juu na ulitumie kama jipya kwa bei ya chini

    Sekta imejaa WAHUNI ma MATAPELI kama unataka gari la angalau kusukuma siku bila usumbufu, AGIZA JAPAN
  8. M

    JamiiForums Tanzania Itungwe sheria kila sebule ya nyumba iwe na picha ya Rais

    Allah Samia anatakiwa kutukuzwa. Damu yake ya hedhi iwekwe kila msikitini. Tumswalie Allah Samia.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Hakuna Jeshi hapo. Ni MILITIA ya wahuni hapo, kina Abdul, Samia na Haji Omar Kheir.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Ulimhonga Mello, akupe Tuzo ili upigie propaganda zako za kidini?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Wewe Mzee wa ovyo saana
  12. M

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Kwanini unam-group Sykes kama MUISLAM na siyo kama MZARAMO, Mwana MZIZIMA, Mtanganyika, Mwana GEREZANI au KATIBU wa TANU??
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nyerere kakaa Ikulu miaka 23 haya mambo hayakuwepo

    Umeweka Bibi Taarabu Ikulu, na unauwa watu kumweka akili itoke wapi??
  14. M

    JamiiForums Tanzania Siku ya mashujaa: Bi. Khadija Mkomanile aliyebatizwa na kupewa jina la Jacinta kisha akanyongwa

    Vugu vugu la Uhuru halikuanzia Dar. Dar palikuwa HQ. Kila jamii, ilikuwa busy kupambana na Mkoloni kivyake. Uongozi wa Nyerere ndio ulitumika kuunganisha makundi yote nchi nzima, na HQ ya mapambano yakawa Dar. Na alifanya ziara nchini kote.
Back
Top Bottom