Kazi yao ni KUUA, KUTEKA, KUPORA, KUFIRA, na kuiba kura, wakimaliza unaitwa NJOO TURIDHIANE.
Yaani CCM ni AFADHALI kuliko ACT.
ACT ni GENGE LA MATAPELI MANAFIKI.
Mwambie kichwa panzi muuaji Samia akakutane na Trump basi.
Mbona mnakamuliwa pesa kila siku na wahuni, madalali wawakutanishe.
Aliyekwambia Trump ana beef na watanzania ni nani?
Hata Vikwazo, hawawwkei nchi, mtapigwa nyie nguruwe.
Kwenye hilo tanko unaona chochote cha maana.
Ni genge la MATAPELI lililokuwa LINAACHAMA tu bila hoja ya MSINGI.
ESSAY isiyokuwa na maana yoyote, zaidi ya kugawana vyeo vya DAMU.
Mkuu, utatumia nguvu kubwa sana kuwatoa gizani hawa watumwa.
They are just destined to be IDIOTS and SLAVES.
Mtu ambaye amefundishwa kuwa Mungu wake hasikiii lugha tofauti na Kiarabu, akili ataitoa wapi??
Hoja siyo kuponda au kusifia CCM.
Hoja ni kuyaona mambo iama yalivyo.
CCM wamefanya maamuzi ya kibwege na kipumbavu mpaka yamefikia hatua ya KULETA MAUAJI YA KUTISHA.
Hakuja BEBERU aliyemuweka Lissu Jela, kuua wajawazito, kuteka kina Polepole wala Chaula.
Hakuna BEBERU aliyeshika bunduki...
Iko wapi hiyo historia?
Mbona tunaona historia ya Sykes peke yake.
Au historia ya Sykes ndio historia ya Tanganyika??
Maana hata historia ya Nyerere siyo historia ya Tanganyika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.