Recent content by Mpwimbe

  1. M

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mkunya. Daraja la Kigamboni linamilikiwa na NSSF, a pension fund for Tanzanian pensioners. Nairobi Expressway, money goes to Beijing? Why are you this DUMB???
  2. M

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tanzania hata Daraja la Kigamboni ni PPP, kati ya serikali na NSSF. HTa hiyo barabra ya Chalinze kuwa PPP ni mali ya kila mtu, na inajengwa kwa akili, na ndio maana Contractor mwenye bei kubwa amekuwa rejected na inaamza upya. Kenya NAIROBI expressway, imejengwa maalum kwaajili ya RICH PEOPLE...
  3. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Tanzania ni NCHI Masikini. Unapokuwa unajadili MADA kwa KUKAZA fuvu, ujue HILO.
  4. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Cairo umejaa watu. Umejaa majengo yasiyo na ladha (concrete jungle) na hakuna mti. Mbwa wanazurura muda wote kila kona, halafu ni jangwani joto zito sana. Kujifananisha na Cairo ni usenge
  5. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Egypt inapokea watalii wa Kihistoria. Pyramids. Tanzania utalii wake bado unakuwa. Tanga, Sourthern Hoghlands na Kusini hakujafunguliwa kimiundombinu. Suala la watalii bado linahitaji promo, nje ya Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar.
  6. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Hizi mada zeny mnachanganya sana mafaili. Mmetoka kwenye skyline, mmedandia MIPANGO MIJI, MAGHOROFA na sasa PUBLIC TRANSPORT
  7. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Kuhusu duniani ni uongo. Morocco ana reserve kubwa ya Phosphate na anaitumia vizuri. Lakino pia ana viwanda vya assembly za magari, plus Utalii. Hivi vitu ukiangalia vimeanza akulipa miaka ya karibuni na siyo kwamba ni so special sana kuzidi Tanzania.
  8. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Tanzania siyo Marekani. WaTZ bado ni wafugaji wadogo, wavuvi, wacjimbaji wadogo, wakuoima.wadogo ambao bado wanaishi kama extended families. In short, WaTZ hawana utamaduni wa kuishi kwenye Apartments. Maghorofa ni kwaajili ya biashara na apartments kwenye urban centers kwa vvijana...
  9. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Mada ni skyline. Hoja ya taka inaanza na wewe, unayeona hayakuhusu. Unamwaga maji, umechagua diwani kiazi ambaye ameshindwa kusimamia mapato ya Halmashauri. Lini umewahi kuhudhuria mkutano wa mtaa wako au wa diwani?
  10. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Kwa Afrika ni nchi chache sana zinaizidi Tanzania kwa social capital. GDP, GDP per Capita hazina maana. TZ ikihitaki kuwa hata top 3 ya uchumi mkubwa Afrika ilas per GDP na GDP per Capital inakuwa ndani ya miaka 5 tu. Morocco imejitahidi tu kuboresha maisha yake, ila imejaa masikini kibao...
  11. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Mada ni skyline, siyo maisha ya watu.
  12. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Nadhani huo uchumi unamaanisha GDP? Kama unaamini GDP nakushauri rudi shule? Kama una sababu nyingie itaje, hapa tujadili.
  13. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Wewe KIAZI? Ulitaja FRANKFUT umegeuka tena ??? Botswana kuna nini, zaidi ya mali za Wazungu kwenye nchi.ya watu milioni 3? Rwanda kuna kitu gani? Kisehemu kama Upanga tu?? Morocco ni nchi masikini tu kama Tanzania, haina maajabu yoyote wewe zuzu. Kwasababu ya hiyo Tram, na vimiji vya...
  14. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    Kuwa na skyline ni hambo zuri, ila kuwa na uchumi jumuishi ni jambo jingine. At least Tanzania, hayo majengo kuna mkno wa NHC nenda Kenya hapo ukaone tafsirinya GENTRIFICATION. Ni majengo ya wahuni, wa Magharibi, Wesi wa Rwanda, Uganda, Congo, na Sudan
  15. M

    Skyline ya jiji la Dar es Salaam imepanuka sana

    HUu ni UPUMBAVU. Nchi nyingi za Afrika zina miaka 60+ baada ya Uhuru. Ulivyo kiazi unafananisha na nchi za Ulya zenye umri wa miaka 400 nyuma. Pumbavuu
Back
Top Bottom