Recent content by Mpwimbe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka sasa sub-saharans bado tunaamini sababu ya tabu zetu ni wazungu?

    Wazungu walichangia na wanachangia. Ila watawala wetu ndio wanachangia zaidi. Na sisi ndio tunachangia zaidi.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Budget ijayo imewekwa hii barabara?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Makonda ni kama hamtaki Mwana FA pale Wizarani

    Zee Matako, miguu na mapaja imeungana
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nafikiria sehemu ya kwenda kurelax hakuna

    JWTZ wanakusanya buku buku Longoni beach na mradi wa fremu. Coco beach wanapatamani, subiri ukute mahotel hapo. Mnazi Mmoja palishakuwa uwanja wa mikutano ya wahuni. Bustani za wazi ni kwenye nchi zenye watu wenye akili. Nye mkapumzike BAR.
  5. M

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, hii ni hali ya mahudhurio ya wafuasi wa CHADEMA Kahama?

    Una bando, unashindwa kuangalia videos mpaka za LIVE unaleta vipicha?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa Ufupi: Jitihada za Kuikwepa ICC zinaendelea....

    Kama bado hujafika umri wa miaka 50, nadhani unaweza kuwa umechanganyikiwa. Huna majibu na bado huna matumaini na hivyo kazi yako ni kukaza fuvu kwa matumaini ya wengine
  7. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Othman Masoud: Hakukuwa na Uchaguzi 2025, Vyombo vya dola kwa kushirikiana na Tume ya Uchaguzi na CCM viliamua nani awe Mshindi

    MATAPELI. Hakukuwa na uchaguzi, ila mnamtambua RAIS na mko bungeni. Na kwa uwendawazimu kabisa, mmeenda MAHAKAMANI kudai viti MAALUMU. MATAPELIIIIIIII
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    CCM wanachojua ni kuokota okota watu. Wala haishangazi yeye kuwa na ndoto hizo.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Makamba ukitoa Jina la baba yake hakuna kitu pale. Hana tofauti na Nape. Ndio maana anamuona ana akili.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Yanga: TEAM 26% GSM 50% Wawekezaji 24%. Uhalisia upo hivyo kimahesabu

    Unajua soko la hisa linavyofanya kazi? Pesa.walizpkusanya Vodacom baada ya kujiandikisha soko la hisa ziko wapi, maana wanahisa hawapewi gawio??? Kwanini Yanga wanakataa wakati mwingine kuuza wachezaji? Unadhani, kukiwa na wanahisa, watakaa kuuza wachezaji ili team ipate faida ya kutoa gawio...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Yanga: TEAM 26% GSM 50% Wawekezaji 24%. Uhalisia upo hivyo kimahesabu

    Team ikianza kuendeshwa kwenye soko la hisa, itabidi MSAHAHAU MAKOMBE. Maana watakuwa wanatafuta wachezaji wa bei ndogo, hakuna bonus ili TEAM ipate faida wanahisa walipwe GAWIO mwisho wa mwaka.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 30 na mshahara wangu ni 250k je nitaweza kutoboa?

    Oa uanze maisha. Maisha ni hatua. Endesha maisha unavyoweza kwa kipato chako cha sasa na unavyomudu, hatua moja huanzisha nyingine. Usijipe stress za utajiri.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Hapa Tanzania Matajiri Wengi Wakubwa Karibu Wote ni Waislamu? Je Dini ya Wakristo Inawanyonya Waumini Wake?

    Mbona wote ni WAISLAMU wa NGOZI NYEUPE. Huo UISLAMU Umeshindwa KUTAJIRISHA WAISLAMU wa NGOZI NYEUSI wamebaki OMBA OMBA mpaka wa LUKU MISIKITINI na kwa wanasiasa kuomba TENDE??? Hiyo LUGUMI kila mwenye akili TIAMMU anajua ni MWIZI.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nape adai Januari Makamba ana akili sana

    Makamba amekuwa Mbunge miaka 20. Amekaa Ikulu miaka 10. Amekuwa waziri miaka 20. Hana LEGACY wala chochote cha kukumbukwa. Hizo akili alikuwa anazitumia wapi, KWENDA KUNYA???
Back
Top Bottom