JWTZ wanakusanya buku buku Longoni beach na mradi wa fremu.
Coco beach wanapatamani, subiri ukute mahotel hapo.
Mnazi Mmoja palishakuwa uwanja wa mikutano ya wahuni.
Bustani za wazi ni kwenye nchi zenye watu wenye akili.
Nye mkapumzike BAR.
Kama bado hujafika umri wa miaka 50, nadhani unaweza kuwa umechanganyikiwa.
Huna majibu na bado huna matumaini na hivyo kazi yako ni kukaza fuvu kwa matumaini ya wengine
Unajua soko la hisa linavyofanya kazi?
Pesa.walizpkusanya Vodacom baada ya kujiandikisha soko la hisa ziko wapi, maana wanahisa hawapewi gawio???
Kwanini Yanga wanakataa wakati mwingine kuuza wachezaji?
Unadhani, kukiwa na wanahisa, watakaa kuuza wachezaji ili team ipate faida ya kutoa gawio...
Team ikianza kuendeshwa kwenye soko la hisa, itabidi MSAHAHAU MAKOMBE.
Maana watakuwa wanatafuta wachezaji wa bei ndogo, hakuna bonus ili TEAM ipate faida wanahisa walipwe GAWIO mwisho wa mwaka.
Oa uanze maisha.
Maisha ni hatua.
Endesha maisha unavyoweza kwa kipato chako cha sasa na unavyomudu, hatua moja huanzisha nyingine.
Usijipe stress za utajiri.
Mbona wote ni WAISLAMU wa NGOZI NYEUPE. Huo UISLAMU Umeshindwa KUTAJIRISHA WAISLAMU wa NGOZI NYEUSI wamebaki OMBA OMBA mpaka wa LUKU MISIKITINI na kwa wanasiasa kuomba TENDE???
Hiyo LUGUMI kila mwenye akili TIAMMU anajua ni MWIZI.
Makamba amekuwa Mbunge miaka 20.
Amekaa Ikulu miaka 10.
Amekuwa waziri miaka 20.
Hana LEGACY wala chochote cha kukumbukwa.
Hizo akili alikuwa anazitumia wapi, KWENDA KUNYA???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.