Mkunya.
Daraja la Kigamboni linamilikiwa na NSSF, a pension fund for Tanzanian pensioners.
Nairobi Expressway, money goes to Beijing?
Why are you this DUMB???
Tanzania hata Daraja la Kigamboni ni PPP, kati ya serikali na NSSF.
HTa hiyo barabra ya Chalinze kuwa PPP ni mali ya kila mtu, na inajengwa kwa akili, na ndio maana Contractor mwenye bei kubwa amekuwa rejected na inaamza upya.
Kenya NAIROBI expressway, imejengwa maalum kwaajili ya RICH PEOPLE...
Cairo umejaa watu.
Umejaa majengo yasiyo na ladha (concrete jungle) na hakuna mti.
Mbwa wanazurura muda wote kila kona, halafu ni jangwani joto zito sana.
Kujifananisha na Cairo ni usenge
Egypt inapokea watalii wa Kihistoria. Pyramids.
Tanzania utalii wake bado unakuwa.
Tanga, Sourthern Hoghlands na Kusini hakujafunguliwa kimiundombinu.
Suala la watalii bado linahitaji promo, nje ya Mlima Kilimanjaro, Serengeti na Zanzibar.
Kuhusu duniani ni uongo.
Morocco ana reserve kubwa ya Phosphate na anaitumia vizuri.
Lakino pia ana viwanda vya assembly za magari, plus Utalii.
Hivi vitu ukiangalia vimeanza akulipa miaka ya karibuni na siyo kwamba ni so special sana kuzidi Tanzania.
Tanzania siyo Marekani.
WaTZ bado ni wafugaji wadogo, wavuvi, wacjimbaji wadogo, wakuoima.wadogo ambao bado wanaishi kama extended families.
In short, WaTZ hawana utamaduni wa kuishi kwenye Apartments.
Maghorofa ni kwaajili ya biashara na apartments kwenye urban centers kwa vvijana...
Mada ni skyline.
Hoja ya taka inaanza na wewe, unayeona hayakuhusu.
Unamwaga maji, umechagua diwani kiazi ambaye ameshindwa kusimamia mapato ya Halmashauri.
Lini umewahi kuhudhuria mkutano wa mtaa wako au wa diwani?
Kwa Afrika ni nchi chache sana zinaizidi Tanzania kwa social capital.
GDP, GDP per Capita hazina maana. TZ ikihitaki kuwa hata top 3 ya uchumi mkubwa Afrika ilas per GDP na GDP per Capital inakuwa ndani ya miaka 5 tu.
Morocco imejitahidi tu kuboresha maisha yake, ila imejaa masikini kibao...
Wewe KIAZI?
Ulitaja FRANKFUT umegeuka tena ???
Botswana kuna nini, zaidi ya mali za Wazungu kwenye nchi.ya watu milioni 3?
Rwanda kuna kitu gani?
Kisehemu kama Upanga tu??
Morocco ni nchi masikini tu kama Tanzania, haina maajabu yoyote wewe zuzu.
Kwasababu ya hiyo Tram, na vimiji vya...
Kuwa na skyline ni hambo zuri, ila kuwa na uchumi jumuishi ni jambo jingine.
At least Tanzania, hayo majengo kuna mkno wa NHC nenda Kenya hapo ukaone tafsirinya GENTRIFICATION.
Ni majengo ya wahuni, wa Magharibi, Wesi wa Rwanda, Uganda, Congo, na Sudan
HUu ni UPUMBAVU.
Nchi nyingi za Afrika zina miaka 60+ baada ya Uhuru.
Ulivyo kiazi unafananisha na nchi za Ulya zenye umri wa miaka 400 nyuma.
Pumbavuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.