Recent content by Mpunilevel

  1. Mpunilevel

    Ndege ya bilioni mbili na uongo wa kueneza injili

    Mshana huo ndo ukweli japo mchungu kumeza kwa hawa wenzetu wanaojiita waponyaji. Inasikitisha Sana mtu anaanza kuhubiri akiwa anauchumi wa kawaida tu then muda si mrefu anakua bilionea, waumini wake wakiwa hoi kiuchumi. Nakubaliana na Trevor 100% Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mpunilevel

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Umapoandika =Unapoandika. Hivi shuleni mlienda kusomea Ujinga?, kanyoloke, [emoji41] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mpunilevel

    Rais Magufuli: Mwijage unanikwaza kwa kushindwa kufuta viwanda visivyoendelezwa

    [emoji3][emoji3][emoji3], Kweli alegeze, soon watafariki Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mpunilevel

    Mbunge wa Tanga umewaangusha UKAWA

    Kakosea nn?, Kwani maendeleo yanachama? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mpunilevel

    Askofu Gwajima akitaka aheshimike...

    Mkuu hakika umenena kilicho dhahiri shairi, big up man Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mpunilevel

    Moshi wa bhangi ni mwepesi kuliko wa sigara

    Ebana Mkuu Mshana wewe nahisi ni.. .. Hua Mara nyingi unatoka unique kinyama. Kama hapa kwenye Moshi wa nanihiii [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mpunilevel

    Watanzania ndio watu wanafiki zaidi duniani

    Ukweli mtupu, bila chenga Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mpunilevel

    "Huyu ni kenge au mamba?"

    Binadamu Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mpunilevel

    Serikali yatoa maelekezo ujio wa ndege ya Askofu Gwajima

    Hizo taratibu kuzifuata nayo ni Dhambi? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mpunilevel

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Isomeke kwako, si kwa Kila mtu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mpunilevel

    Vyombo vya Habari vyautupilia mbali upatanisho wa RC Dar na Ruge

    Bado tu unanunuaga Haya magazeti ya bongo ya kina kubenea, wale wa Elimu ya hapa na pale? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mpunilevel

    Kutoka Tanga: Rais Magufuli awapatanisha Clouds Media Group na Paul Makonda

    Maelezo meng, yamejaa upumbavu na uzandki tupu. Kifupi Makonda hakuvamia Clouds FM, bali aliambatana na walinzi kama guard baada ya kulianzisha la dawa za kulevya na kutaja vigogo wazito. Kete ya kwamba Makonda alivamia Clouds, ilianzishwa na Kina Mzee Mengi akiongoza baadhi ya watu...
  13. Mpunilevel

    Vladmir Putin hawamuwezi kwa pose!!

    Huyu ni commando mwenye black belt, full matiz, namkubali Sana Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Mpunilevel

    Lissu: Tulipomfukuza Zitto Spika alizuia, ila Lipumba akifukuza wabunge anakubali haraka

    Kama mnavuta ganja na hamtaki kupima mkojo kwa hiari, tuwafanyaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Mpunilevel

    Tusahau mradi wa bomba la mafuta si mara ya kwanza kwa Museveni

    Bomba likijengwa utakuja na story gani? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom