Labda niseme hiv mungu Ni muweza wa yote,upendo mkuu,pia asiyeshindwa lolote. Sasa kwann dunia tunayoishi ina matatizo mengi ina maana huyu mungu anapenda tuishi hiv, Sasa Kama anapenda basi sio mungu mwenye upendo, Kama hapendi tuteseke na yeye Ni muweza wa yote anashindwa vipi kuondoa haya...