Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Hao mbona wapo kwenye system kitambo tu. Tunawajua wengine wako pale Uhamiaji Makao Makuu, TRA, TFDA wake kwa waume wamejaa mle.
Ni vile tu hii serikali sio makini lakini kila kitu kiko wazi. Utasemaje ikiwa mke wa Gaudence Lyimo, Meya wa Arusha naye ni Mnyarwanda tena ana pasi ya kusafiria ya nchi zote mbili ilihali Tz inakataa uraia wa nchi mbili?
Ni vile tu hii serikali sio makini lakini kila kitu kiko wazi. Utasemaje ikiwa mke wa Gaudence Lyimo, Meya wa Arusha naye ni Mnyarwanda tena ana pasi ya kusafiria ya nchi zote mbili ilihali Tz inakataa uraia wa nchi mbili?