Tatizo la huyu bwana ni akili ndogo alionayo. Kawaibia hela watu wa Malawi alipoitwa na Rais wa wakati huo kipindi cha kampeni Bakili Muluzi alizunguka Malawi nzima na Tot yake karudi na mahela hadi kajenga shule kwa jina la Muluzi.Mnafiki huyu hata sisi watu wa Nyasa hatupendi japo kahusika...
Patricia Masinga is nobody in Malawi. Munachonga kama vile nyie ndo wasemaji. Kasema yale niyakwake kwani ni waziri aliezungumza? its rather not a President. Yule katoa maoni yake hata atukane Tanzania haijapungukiwa kitu.
Ninachomushukuru Mungu wangu nikuonyesha mapema kwamba huyu bwana hafai. sikuvutiwa tangu anatangaza nia. kama angepitishwa Mwandosya angepata kura yangu.
Kura yangu hakuipata na hatoipata.
Mm nashanga serikali waisting time kukaa na voingozi wa dini eti kuondoa tofauti za kidini. Let me give them a lesson. Amani huanzia ndani ya mtu na anaeleta amani ya kweli ni Mungu sasa naona ajabu eti mazungumzo. mmezungumza mangapi katika maisha kuhusu maendeleo etc na hakuna matund?. The...
Makamanda wetu pliz sikilizeni hiki kilio. Huu sio muda wakupoteza. We need these guys to go. Dr slaa sasa hv utakua umepunguziwa majukumu nenda kaweke kambi
Siku ambayo nilimuona Mwigulu ni bahati yake kaenda chuo nipale aliposema hata mbinguni naweza kutoa ushaidi. yule bwana is big for nothing. wala hakujuwa alichoongea halafu mm nasikitika hata mama Rwakatare na Asumpta Mshana wachungaji hawakumukosowa. Mungu hatendi kazi kama anavyowatendea watu...
Uwezo wa ndugai ni mdogo. Lissu anaonekana ni msomaji sana kwahy upeo wake lazima uwe mkubwa. Sijawahi kusikia Ndugai anatetea mtu fulani kwenye case fulani. yy ni siasatu hajuwi alisomea nini.
Yaani wakifanya hv utakuwa upuuzi mkubwa kuwahi kutokea.Nchi nzima inajua halafu unataka kulazimisha mtu mwingine aongoze kama vile Meya wa Arusha na Ilemela na makongoro mahanga masere Brandes Serukamba na wengine wengi.
I agree with you. Tume huru CCM ikiwa madarakani ni ndoto ila kinachotakiwa CDM ni kuweka mikakati ambayo itafanya CCM na NEC washindwe kupata ushindi. Mm nafikiri hili lakanda is agood step ahead forward inawezekana kuwabana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.