Umemaliza anaeweza kusikia na aelewe ...ccm ni mafala Sana bado 25 yataleta huyu huyu halafu tunarudi square one 10 years nothing done. Muda hauchezewi heshimu muda limeshakua taifa la hovyo Sana hili
Kama gadafi aliruka nao muda mrefu tuu hata putini anaweza kuwavuruga kwanza Ana ardhi kubwa yeye anachofanya ni kuachia manyuklia iwe Vita ya hayo madude wafe wote
Ccm wangejitambua tusingekua tunateseka hivi watu hawawezi kua mbadala wa maisha yetu kwanini tusitengeneze mifumo imara kupitia katiba? Yaan tukubaliane kiongozi akila rushwa au ufisadi kunyongwa siku ya kazi jumatatu asubuhi mbele ya bunge pale dodoma huku tukio likiwa live tbc..lakin Hawa wa...
Kwakweli hatutakaa tutoboe Kama nchi licha ya rasilimali tulizonazo lowasa alisema Elimu Elimu Elimu wale amabao hawajasoma na hawajui maana ya Elimu kina msukuma wakasema kazeeka vibaya amejinyea....kijani ndio tatizo lenyewe ambao hawana Elimu ndio wako kwenye usukani wa Mambo nyeti
Hivi academy zetu zinautaratibu tofauti naona Manager ni Per lakin Kuna makocha wawili Jack na Helmer Sasa wanasimama touchline nifanunulieni apo alafu pia tunaongoza ligi baada ya mechi tano tumeanza vizur aseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.