Alafu nilazima ieleweke kwamba Nyerere alikua ni mwanasiasa na sio mtabiri sasa hayo mambo ya kusema alisema-alisema hatuyataki tena kwasababu hata yeye alifanya vitu vingi (ujamaa e.t.c) akiamini vitafanikiwa lakini mwishowe failure kama angekua anamaona angeliona mapema, kwa upande wa pili...
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano ninaejishughulisha na mchepuo wa HGL. Kwa kawaida geography huwa ninascore 60-90, english 60-85 wakati historia huwa ninascore 67 kushuka chini mpaka leo nimescore 30%.
Kkila mwalimu anaekuja anakuja na msimamo yake katika usahihishaji(no uniformity) ambapo...
Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha tano mwenye uwezo wa wastani, HGL ndio mchepuo ninaojishughulisha nao. Kwa upande wa geography huwa nina score 60-90 na english 60-85. Historia kwa mazoea huwa ninascore 67 kushuka chini leo
nimescore 30%
Najua ninachokihitaji kak ila nawasiwasi nacho kwa kiasi kikubwa kutokana na mazingira ya nchi yetu kwahiyo kuomba ushauri ni kwa lengo la kupata kazi yenye aman na furaha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.