Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo haya?

Wanawake wamewazidi wanaume kwa mambo haya?

Ndio wakali wa masomo ya kumeza!

Wanaongea kwa wastani more words in a day than men!

Wako makini barabarani kuliko wanaume!

Wanazaliwa na akili wkt kwa wanaume akili huja ukubwani!

Wao ndio wanaoongea lugha sanifu kuliko men!
 
Ndio wakali wa masomo ya kumeza!

Wanaongea kwa wastani more words in a day than men!

Wako makini barabarani kuliko wanaume!

Wanazaliwa na akili wkt kwa wanaume akili huja ukubwani!

Wao ndio wanaoongea lugha sanifu kuliko men!

Hebu wewe njoo huku umalizie ile story yako
 
Ndio wakali wa masomo ya kumeza!

Wanaongea kwa wastani more words in a day than men!

Wako makini barabarani kuliko wanaume!

Wanazaliwa na akili wkt kwa wanaume akili huja ukubwani!

Wao ndio wanaoongea lugha sanifu kuliko men!

Hii ya barabarani nimeikubali ndio maana hawapigwi pasi ovyo ovyo!!
 
Nahisi kuna vipengele vinaelekea kubadilika, kuna wanaume wanapendeza siku hizi wanawake tupa kule! Wanabadilisha nguo na kuoga zaidi ya wanawake, unamjua Ben Kinyaiya wewe? Kuna yule mwanamitindo kijana hivi Mwarabu sijui Mhindi jina lake limenitoka, hao ni mfano tu bado mitaani tunakoishi nao


Haaaaaah Ally Remtula sio?
 
Hehehe kupretend nahisi yakiwekwa mashindano ntashinda.
 
Weee kuna wanaume wana nguo nyingii weee
 
Back
Top Bottom