Kama itakupendeza ungeelewa kwanza nilichouliza naona umekurupuka sina shida na kuondolewa au kutoondolewa nimeuliza 2/3 ya 26 ni 14?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hujamsikia Mbowe akieleza juu ya mtoto wake? Kumbuka kuna tofauti kubwa ya Tatizo la mtoto wa Mbowe na Mzee Mangula,issue ya Mangula inahusisha Vyombo vya dola tumia Akili mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu bila kuandika uzi hata kama wa kipumbavu hulipwi buku 7 ndio maana wanahaha kuandika hata mambo yasiyo na Tija kwa Taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.