Recent content by MPIKUSASA

  1. MPIKUSASA

    Petition: Wito wa kusitisha tozo/kodi ya laini ya simu kila mwezi kufuatia mabadiliko ya sheria

    Nikweli serikali haiwezi kuendeshwa kwa mtindo wa ujanja ujanja, hivyo serikali inashauriwa kutumia vyanzo vilivyopo katka kuhakikisha kuwa taifa linasonga mbele kwa kuhajkikisha kuwa tunahama kutoka hapa tulipokuwa kwenda tunapotakiwa kwenda.
  2. MPIKUSASA

    Chaguzi ndogo 16/6 na 14/7 majumuisho na tathmini

    Jamani ccm kama hamjui kusoma basi hata ishari hamuoni, sasa watanzania kumekucha.
  3. MPIKUSASA

    Kutamani Kungonoka kila Dakika, Je, huu ni Ugonjwa?

    Yaaaaaaaaaaani daily on the game thats fan! But mie naikubali hali huyo unachotakiwa kunywa maji hadi kiu iishe, yaani wewe tungekutana ingekuwa poa mak mie mwenzio nataka mara 8 kwa usiku eti si imebalance?
  4. MPIKUSASA

    Natafuta couple chit chat

    Mambo yaje uko poa mwenzangu nani uko pande za wapi?
  5. MPIKUSASA

    Je nikweli kuwa hakuna wakuiwajibisha serikali?

    Kwa matukio yaliyojirudia mara mbili, tena kwa kiasi kikubwa yakionesha serikali kuhusika kwa nama moja kuua wanchi wasio na hatia yeyote, je hili halitoshi kufanya serikali kuajibika? Katika serikali yenye kuwajibika inapofika matukio ya kuuliwa kwa raia wake yanapokuwa yamekithiri na tena...
  6. MPIKUSASA

    Wabunge wa NCCR Kutoka Mkoa wa Kigoma kuunguna na wanaukombozi leo - Bungeni kuwaka Moto

    Hapo ndipotutakuwa tumefikia hatua ya ukomavu kisiasa, hasa kwa mambo yanayotugusa kama taifa.
  7. MPIKUSASA

    Arusha: Kijana wa CHADEMA aliyelazwa hospitali, ahusishwa na ulipuaji bomu

    Wala si ajabu kwa serikali dhalimu na kipofu kama hii, ambayo toka mwanzo haiwezi kuwaona waharifu, badala yake wanaweza kuwaona wapigania haki za raia,
  8. MPIKUSASA

    CHADEMA wasafirisha miili ya marehemu kwa maziko. Familia yaikataa serikali

    "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"“The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything” -ALBERT EINSTEIN NIMERIDHISHWA NA HATUA WALIOCHUKUA WALIOFIWA PAMOJA NA WAHANGA KWA KUIKATAA SERIKALI...
  9. MPIKUSASA

    Kutoka Arusha: wabunge wa CHADEMA ndio wanapelekwa mahakamani

    Aisee waambie hao makamanda wetu tuko nao katika kila hatua sio sisi tu bali tanzania nzima sasa chama cha mapinduzi kimezidi kuoga uchafu wa waasisi wa ugaidi waliounzisha na wala hatutanyamaza.
  10. MPIKUSASA

    Sakata La Gesi Mtwara: Tuache Unafiki na Woga, Tuchambue Mchele na Pumba

    Kama huwezi kuona kwa macho basi tumia darubini, serikali ya chama cha mapinduzi ni pori la wanyang'anyi na majambazi wanaowaibia wananchi waliodumazwa kwa "nusukapit iitwayo tudumishe amani yao"
  11. MPIKUSASA

    Nawashangaa wanaoichukia CCM!! Hebu soma hapa.

    nafikiri kaka umo ndani ya ccm ila hauijui ccm kuwa ni muasisi wa mauaji ya kinyama na kikatili na hasa pale wanapokosolewa, nakushauri ujifunze vzr ili ukijue chama chako cha ccm hicho ni chama cha majambazi, tafiti vuzuri utakuja kunirejeshea majibu nasikitika kuwa utakuwa na unakimbizana na...
  12. MPIKUSASA

    Sitta amwandama Slaa kwa wasomi wa Chuo Kikuu cha SAUT

    ccm imeishiwa sera na kubakia na vuvuzela hakuna kitu ikla kupiga kelele tu, li kuwazubaisha wananchi wasiokuwa na uwezo wa kufikiria.
  13. MPIKUSASA

    JamiiForums Shinyanga wing: Ingia humu tujuane

    hi wanaJF niko Kishapu - Shinyanga, karibuni sana tuchange mawazo ya kuiendeleza shy yetu!
  14. MPIKUSASA

    Natafuta mpango wa kando

    Mimi kijana wa miaka 33 na handsome wa ukweli kutoka na nilivyo navutiwa na wadada wengi sana, ila nimeamua kuwa na mdada mmoja wa kupeana naye raha ya dunia. Sifa zangu mie nimfanyakazi wa sirikali, ni mpenda Mungu, mjasiriamali. Mwenye kupenda kwa sifa hizi na ana sifa hizo chini inbox, mambo...
  15. MPIKUSASA

    Ni nini kigezo cha mke anayefaa kuolwea kwa karne yetu hii.

    Salaamu wana JF,nakuja na wazo lingine likitaka ushauri wenu wa kina. Je ni ipi sifa nzuri zaidi ya zote kwa mwanamke wa kuoa, je ni mwenye sura nzuri na maumbile yenye mvuto au ni mwenye tabia nzuri hata kama hana maumbile yenye mvuto?
Back
Top Bottom