CHADEMA wasafirisha miili ya marehemu kwa maziko. Familia yaikataa serikali

Mkuu Mungi.

Naomba kuboresha kidogo taarifa yako hasa kuhusu marehemu wa Lushoto Tanga.

Maiti imeingia alfajiri ya leo na tayari wameshazika kule nyumbani kwetu mkuzi. Marehemu ni mtoto wa kaka yetu kenye ukoo anayeitwa Mtoi Kolowa Daffa, marehemu anaitwa Amiri Mtoi Kolowa Daffa.

Timu ya watu kutoka Arusha imetoa support kubwa sana na hivi sasa wako njiani wanarejea Arusha.

Watu wa Arusha mnashukuliwa sana kwa moyo wenu.

pole sana Mohamedi Mtoi ,fikisha salamu zetu kwa familia kuwa tupo pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli anastahili sana.. Anajua sana utu.. Hasa mtu anapopatwa na matatizo...
Yule meri nagu anapumulia mashine kwa jinsi huyu mama anavyokubalika Hanang
kwa kumkabidhi hiyo shughuli Rose kamili chadema walicheza kama pele , huyo mama hizo shughuli za kijamii especial misiba kwa tunaomfahamu hizo shughuli anazimudu kwani huwa anajitolea kwa hali na mali.
 
asante kwa taarifa nzuri , lakini tuwe waangalifu na hujuma za Askari wa Barabarani , maana hiyo taasisi ishapoteza uaminifu , inasemekana siku hizi wanatumika kama wewe unavyoitumia mashine yoyote , tena kwa matumizi yoyote utakayoona yanafaa ! CC betlehem .
 
Kuna kitu hawa wauaji hawaelewi. Mungu yupo na hujilipiza kisasi kwa ajili ya wale walio wanyonge. Na hakuna kitu kibaya sana kama kumwaga dama ya watu innocent kama wale watoto wadogo. Damu yao haiendi bure, iwe ni kwa kizazi chako, au cha wanao, au cha wajukuu na hata watukuu, watailipia tu.
 
Wana Jf,

Kama mtakumbuka waziri mkuu juzi alitoa kauli ya serikali kuwa itagharamikia mazishi ya waliofariki katika milipuko ya mabomu na risasi Arusha.

Taarifa iliyothibitishwa ni kwamba Ndugu wa Marehemu wote wawili wamekataa serikali kujihusisha na mazishi ya ndugu zao.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti ndugu hao wamesikitishwa na kitendo cha kushawishiwa kuwakataa chadema, wamesema wao wapo na chadema kwa kuwa wao pia ni wafiwa katika tukio ambalo lilitokea kwenye mkutano wao.

Leo hii miili ya marehemu wote zimesafirishwa kwenda makwao Tanga na Tabora, ambapo Mbunge Rose Kamili ndiye aliyeshughulikia taratibu zote ikiwa pamoja na kulipia gharama za usafiri, chakula na malazi kwa wote waliosafirisha miili ya ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki.

Coster zote zimeondoka mapema leo kuelekea kwenye maziko.

Watanzania wamekomaa kisiasa.

Huwezi kuwarubuni kwa siasa za kishenzi na kinafiki zinazofanywa na sirikali ya CCM.
Nawapongeza wafiwa kwa kuchukua uamuzi sahihi na mwafaka. Bila shaka ujumbe huu umefika kwa Raisi Kiwete,PM Bwana Pinda na Serikali yao DHALIMU NA KIBAGUZI.
 
aiseeeee babayangu niaacha kazi zangu za kulima naenda njaa panda ya moshi kuziaga maiti najua zitapita hapo then nirudi rombo
mungu awatangulie kwenye safari
 
ccm nchi.jpg hapo ndio utajua hawa ccm kazi zao ni zipi
 
Ccm wajue kuwa sio kila watu wanaweza kurubuniwa kirahisi, wengine wana misimamo kwelikweli, hawajali rupia wala faranga yako. Sio wale wanaopewa buku 7 wanasahau utu kabisa, nawashauri wasiwe wanajipendekeza kila mahali hasa misiba waliyoisababisha, wajitahidi kukaa mbali nayo kama bosi wao asivyothubutu kwenda kutoa pole japo ya kinafiki na kupenda kwake kote shughuli za misiba.
 
Tunawaombea Mungu awape faraja zake wale wote wanaoguswa na misiba hii na kuwaongezea imani. Vilevile tunawaombea wasafiri salama na kuwapumzisha ndugu zetu kwa amani. Mungu azilaze roho za marehemu hawa pema peponi, amina.

...najumuika na wewe mkuu ktk sala hii na nyingine zote,kuwaombe ndugu zetu waliotangulia mbele za haki,Mwenyezi Mungu awatie nguvu na moyo wa uvumilivu ndugu na jamaa ya waliondokewa na wapendwa wao..."Inna lilai wana inna lilai-lajiluuni"..."Bwana ametoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana lihidimiwe"...NA sisi tuliyobahatika kuiona siku ya leo tunakimbilia mbelezako ewe Muumba mbingu na aridhi,tukikuomba ulinzi wako dhidi ya haya "mashetani(CCM) " yanayo-u-winda uhai uliotuzadia kwa mabomu,risasi,sumu na kila aina ya hila mbaya...
 
pole sana Mohamedi Mtoi ,fikisha salamu zetu kwa familia kuwa tupo pamoja.
Polea sana Mtoi. Nilifarijika kumsikia mbuge mmoja wa chama tawala akielezea kusikitishwa na jambo hilo na kisha kuniambia kuwa woga unaowasumbua viongozi wengi walioko madarakani ni kwa ajili ya madhambi makubwa waliyofawafanyia watanzania. Kwa hiyo wanatafuta kwa nguvu zozote zile kuondoa nguvu za mabadiliko.
 
Ni kweli anastahili sana.. Anajua sana utu.. Hasa mtu anapopatwa na matatizo...
Yule meri nagu anapumulia mashine kwa jinsi huyu mama anavyokubalika Hanang

na akisimamia shughuli/majukumu anayopewa huwa lazima yafanikiwe , anaushawishi ,huruma na urafiki wa kuunganisha watu sana.... wanahanang wasifanye makosa 2015 kumpa jimbo huyu mama.
 
"Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"“The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything” -ALBERT EINSTEIN NIMERIDHISHWA NA HATUA WALIOCHUKUA WALIOFIWA PAMOJA NA WAHANGA KWA KUIKATAA SERIKALI KUSHIRIKI KATIKA MAZIKO, KWANI HUWEZI KUJIFANYA KUMTHAMINI ULIYEMUUA KWA MAKUSUDI."I CAN NOT STAND A SIDE AND LET OTHERS DIES FOR ME. I WILL FIGHT TOO"“The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything” -ALBERT EINSTEIN
 
Mkuu Mungi.

Naomba kuboresha kidogo taarifa yako hasa kuhusu marehemu wa Lushoto Tanga.

Maiti imeingia alfajiri ya leo na tayari wameshazika kule nyumbani kwetu mkuzi. Marehemu ni mtoto wa kaka yetu kenye ukoo anayeitwa Mtoi Kolowa Daffa, marehemu anaitwa Amiri Mtoi Kolowa Daffa.

Timu ya watu kutoka Arusha imetoa support kubwa sana na hivi sasa wako njiani wanarejea Arusha.

Watu wa Arusha mnashukuliwa sana kwa moyo wenu.

Pole sana Kamanda Mtoi, Mungu aendelee kuwapa Nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kuomboleza kifo cha ndugu yetu. Na hii damu iliyomwagika ikawe kichocheo katika harakati zetu za kuikomboa Tanzania yetu kutoka mikononi mwa mafisadi na majangili. TULIANZA NA MUNGU NA TUTAMALIZA NA MUNGU.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom