Hii ni harakati za chuki ubabe na muendelezo wa visasi kwa mtukufu huyu,kwani mchakato wa kumpata raisi hata kikwete alikuwa na jina lake mfukoni sasa wamemfanya nini ni unafiki tu na mtakatifu huyu kujifanya ya kwamba yupo karibu na familia ya kikwete akilenga uchaguzi 2020,waweze kumpa...
Wewe usituhamishe mada kwa madawa ya kulevya mkurugenzei wake kateuliwa na anaendelea na majukumu yake hapa ni BASHITE tu aonyeshe vyeti baasi ndo kazi tu
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Antonnio Guterees yupo nchini lakini mkuu wa nchi huyoo Dodoma anamwachia waziri wa mambo ya nje aongee naye.Jana nilimuona Uhuru kenyatta wako naye beneti wakwetu anamuona siyo wa muhimu.
Katika hali ya kushangaza na kiburi cha madaraka mkurugenzi halmashauri ya wilaya ya manyoni kazuia mzunguko wawatumishi kufanya zamu zao na kuhama idara wanazofanya kazi kwa muda mrefu ili kuboresha huduma hiyo hapa wilayani manyoni.Murugenzi huyo niwa ajabu sana kwani kila siku anaibuka...
Hivi ninyi watanzania sijui mkoje tu.Wewe fisemu ni ile ile hakuna jipya huyo mama hata akienda tu kusinzia hakuna atakaye muuliza.Hivyo basi ameona 2020 atakosa walau wakumukaribisha kwenye kampeni na usitegemee ridhiwani atahojiwa kashfa madawa ya kulevya hiyo ndo imetoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.