Tukisema la ukwel huyu mbunge ndani ya chama chetu ni janga na ni mzigo ,uyu ndio alisema wanaume wapelekwe kwenye chuo cha kufundisha kutongoza ili kupunguza ngono zembe ni mbunge kilaza sana hana tofauti na Sophia simba
Mungu akupe maisha marefu kamanda lema ww ni jembe ni mfano wa kuigwa hakika nakubali maneno yako cku umeshinda kesi kwamba hakuna rangi ccm wataacha kuona mwaka huu
Mmemuua masoud igunga ,mmeua arumeru nape sikusamehi hata kidogo kwanza ww ni mtu hatari kwa mustakabali wa taifa una siasa chafu na tabia ya kuzusha mambo juu ya viongoz wa upinzani mnafki mkubwa ww
Nimemshangaa sana ameacha kumshambulia yule mbunge wa znz kombo aliesema kifutio kinaitwa kifirio ila akaona maneno ya lisu ndio yanaondoa utulivu wa fikra kuliko yule aliye taja kifirio
Ivi kwanini mpaka mtu afe ndio wanaibua tuhuma izi ? maanake hata said mwema anajenga ghorofa refu mithili ya ppf tower hapa mjini moshi maeneo ya soweto kwanini wasimuibue nayeye wakati huu akiwa hai ili ajibu tuhuma ? maana mapolisi wengi wamekuwa wezi mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.