Recent content by mpiganaji86

  1. M

    Godbless Lema kutikisa Mbeya Vijijini

    Wanawake kama nyinyi ni aina ya akina agness masogange mnaosafirisha pipi ndani ya ma------ yenu
  2. M

    Leticia Nyerere (CHADEMA): Mitandao ya kijamii inatumika kutukana viongozi, wahusika wakamatwe!

    Tukisema la ukwel huyu mbunge ndani ya chama chetu ni janga na ni mzigo ,uyu ndio alisema wanaume wapelekwe kwenye chuo cha kufundisha kutongoza ili kupunguza ngono zembe ni mbunge kilaza sana hana tofauti na Sophia simba
  3. M

    Napendekeza; Mh Mrema na Wastaafu wa Wakuu Polisi na JWTZ wawe washauri wa wizara ya mambo ya ndani

    Mtu ambae ni Jambaz sugu mahita ndio akawe mshauri wa jeshi la polisi ?
  4. M

    Je, una imani na Jeshi la Polisi?

    Mapolisi ni wauza ndumu wakubwa na poda ma ocd ndio mapusha pia ni majambaz
  5. M

    Nape: Dhambi ya ubaguzi inaimaliza CHADEMA!

    Nape njoo tueleze askar wenu wa jwtz amekamatwa na meno ya tembo arusha
  6. M

    Mkutano soko kuu Mtwara- muendelezo wa gesi.

    Wananchi wa mtwara hakuna kurudi nyuma
  7. M

    Picha na matukio mbalimbali; Kumbukumbu ya mauaji ya makusudi

    Mungu akupe maisha marefu kamanda lema ww ni jembe ni mfano wa kuigwa hakika nakubali maneno yako cku umeshinda kesi kwamba hakuna rangi ccm wataacha kuona mwaka huu
  8. M

    Heri ya mwaka mpya 2013! Niliowaudhi 2012, naomba radhi

    Mmemuua masoud igunga ,mmeua arumeru nape sikusamehi hata kidogo kwanza ww ni mtu hatari kwa mustakabali wa taifa una siasa chafu na tabia ya kuzusha mambo juu ya viongoz wa upinzani mnafki mkubwa ww
  9. M

    Arusha tutaendelea kuwa kielelezo cha mabadiliko ya kweli 2013 – Lema

    Safi sana kamanda wa ukweli na mpambanaji jasiri,hp nw yr u too
  10. M

    Shibuda amshambulia Tundu Lissu bungeni

    Nimemshangaa sana ameacha kumshambulia yule mbunge wa znz kombo aliesema kifutio kinaitwa kifirio ila akaona maneno ya lisu ndio yanaondoa utulivu wa fikra kuliko yule aliye taja kifirio
  11. M

    Utajiri wa Kamanda Barlow Unatisha! Soma hapa...

    Ivi kwanini mpaka mtu afe ndio wanaibua tuhuma izi ? maanake hata said mwema anajenga ghorofa refu mithili ya ppf tower hapa mjini moshi maeneo ya soweto kwanini wasimuibue nayeye wakati huu akiwa hai ili ajibu tuhuma ? maana mapolisi wengi wamekuwa wezi mno
  12. M

    Kongamano la Mwl Nyerere Nkrumah Hall: Esther Wasira awagusa wengi!

    Mdahalo sasa hivi ITV 'Live': Nni mtoto wa Wasira yule aliejiunga na CHADEMA hivi karibuni ndio anaunguruma!
  13. M

    RPC wa Mwanza ACP Liberatus Barlow auawa na wanaodaiwa ni majambazi!

    Ingekuwa chagonja au kamuhanda ningefanya hafla fupi nakulewa mpaka kuchwee
Back
Top Bottom