MgumuNgara, Hao wote uliowataja hakuna alieanzisha vuguvugu ndani ya CCM ikafikia atuhumiwe kuwa NI msaliti na kuitwa kwenye kamati ya maadili akahojiwa na mwisho kufukuzwa uwanachama wa CCM.
kwa hiyo unavohisi, sio vitavokua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sipendi kulizugumzia ya kutimia UTABIRI WAKO Ila mtindo huu waliouazisha JAMII FORUM wakufutafuta THREADS za wanachama bila sababu au kwa kujipendekeza na kudhihirisha uwoga wao, bila Shaka utasababisha mtandao huu kuhamwa na wanachama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu Pascal Mayala kiukweli wewe kuja na maoni Kama hayo sishangai, inawezekana Bwana Makonda ni wa KUNYUMBA, hata mimi ingekua aliefanyiwa ni MZARAMO mwenzangu ningekuja na kauli Kama ya kwako pila kujali sababu Pompeo iliyo mfanya amwekee ziwiyo Kama Hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini au usiamini! Tamko la Pompeo aliloliweka masaa 18 yaliopita kwnye account yake ya TWITTER limepata Reply 1179.
Retweet : 2032.
Like : 6703 na baado watu wanaendele kuchangia huko TWITTER
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii NI ngumu kwangu kuielewa!
Toa tafsiri nyepesi ili uweze kueleweka. Kwa kukusaidia sema: mtu kabila anachukua kwa baba yake au kwa mamaake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haija tokea au kuzugumzwa Kuna shirika la ndege hapa duniani limeingiza faida kiasi Fulani, Ila mashirika ya ndege yanayo pata tija(faida) yanabaki kimya tu au kinacho sifiwa NI huduma nzuri tu sio faida
Sent using Jamii Forums mobile app
LIKUD,
Huyo Rashid Abdalla Makwilo a.k.a CHIDY BENZ, babaake NI Mzigua (Makwilo jina la kizigua) na mama Mhehe, lakini anajinasibisha na UHEHE hataki kuitwa Mzigua, anadai kuwa yeye ni Mhehe mnyalukolo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani katabiri ujio wa yesu mara ya pili Kama MASIH(MASIA)anae subiriwa Hilo nadhani hata wa Kristi ujio huo wanauamini na kuusubiria
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.