Unabii wangu umetimia juu ya Mwamposa

Unabii wangu umetimia juu ya Mwamposa

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,550
Wiki iliyopita baada ya kutokea tukio la kusikitisha la vifo vya watu takribani 20, nilitoa utabiri juu ya hili tukio lakini cha kusikitisha uzi wangu ulifutwa na hawa wafanyakazi wa "Where we dare to talk openly".

Nilisema tukio hili na lile la MV Nyerere ni matukio pacha...yote yamefanywa kwa makusudi na sio bahati mbaya kama wao wasemavyo.

Leo, huyu anayejiita Nabii anadunda mtaani, na wale waliohusika na MV. Nyerere wanadunda mtaani siku za mwanzoni tuliona wakifunguliwa mashitaka.

Hii nchi haina usawa, ni unafiki kwenda mbele. Kila MTU anaangalia masilahi yake.

Zile damu zitalipwa siku moja.

#KingNebu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiki iliyopita baada ya kutokea tukio la kusikitisha la vifo vya watu takribani 20, nilitoa utabiri juu ya hili tukio lakini cha kusikitisha uzi wangu ulifutwa na hawa wafanyakazi wa "Where we dare to talk openly".

Nilisema tukio hili na lile la MV Nyerere ni matukio pacha...yote yamefanywa kwa makusudi na sio bahati mbaya kama wao wasemavyo.

Leo, huyu anayejiita Nabii anadunda mtaani, na wale waliohusika na MV. Nyerere wanadunda mtaani siku za mwanzoni tuliona wakifunguliwa mashitaka.

Hii nchi haina usawa, ni unafiki kwenda mbele. Kila MTU anaangalia masilahi yake.

Zile damu zitalipwa siku moja.

#KingNebu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sipendi kulizugumzia ya kutimia UTABIRI WAKO Ila mtindo huu waliouazisha JAMII FORUM wakufutafuta THREADS za wanachama bila sababu au kwa kujipendekeza na kudhihirisha uwoga wao, bila Shaka utasababisha mtandao huu kuhamwa na wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sipendi kulizugumzia ya kutimia UTABIRI WAKO Ila mtindo huu waliouazisha JAMII FORUM wakufutafuta THREADS za wanachama bila sababu au kwa kujipendekeza na kudhihirisha uwoga wao, bila Shaka utasababisha mtandao huu kuhamwa na wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui tukaongelee wapi sasa....hapa ni sehemu maalum ya kutapika. Ila jamaa wanaboa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sipendi kulizugumzia ya kutimia UTABIRI WAKO Ila mtindo huu waliouazisha JAMII FORUM wakufutafuta THREADS za wanachama bila sababu au kwa kujipendekeza na kudhihirisha uwoga wao, bila Shaka utasababisha mtandao huu kuhamwa na wanachama

Sent using Jamii Forums mobile app
Wiki iliyopita baada ya kutokea tukio la kusikitisha la vifo vya watu takribani 20, nilitoa utabiri juu ya hili tukio lakini cha kusikitisha uzi wangu ulifutwa na hawa wafanyakazi wa "Where we dare to talk openly".

Nilisema tukio hili na lile la MV Nyerere ni matukio pacha...yote yamefanywa kwa makusudi na sio bahati mbaya kama wao wasemavyo.

Leo, huyu anayejiita Nabii anadunda mtaani, na wale waliohusika na MV. Nyerere wanadunda mtaani siku za mwanzoni tuliona wakifunguliwa mashitaka.

Hii nchi haina usawa, ni unafiki kwenda mbele. Kila MTU anaangalia masilahi yake.

Zile damu zitalipwa siku moja.

#KingNebu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mengne tusiwalaumu tu hawa mods pumba kama hizi zinamaana gani hapa jf?
Huyu naye anajiita nabii eti unabii wake umetimia pumba kabisa hii kuendelea kubaki hapa ni kujaza server tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom